Salamu wapendwa, jamani kama kuna yeyote mwenye kampuni au connection ya kazi za usafi ofisini, kuuza duka nk. kuna sister zangu wawili wako wanaishi Banana-Dsm wanahuitaji sana na kazi.
Natanguliza shukrani, unaweza niPM au 0654907899 or 0684055370 nikuunganishe nao.
waziri wa mzingira hajui wala hajawahi hata kuwa na passion ya mazingira..
kuna vijana wazuri wa env. engineering na env. management wanazalishwa SUA na ARDHI UNVERSITY wanaweza toa elimu nzur ya utunzaji mazingira na kujiepusha na magonjwa kama kipindu pindu kila wilaya na kata hapa Tanzania...
udsm wanachotaka kozi zote znazotolewa na vyuo vingne ambazo hawakuwa nazo awali wawe nazo: architecture, environmental engineering, udaktari, Building economy...je mazingira n rafiki kwa koz hizo mana hata hao wenye nazo bado changamoto ya waadhiri not yet solved.
kuna mdada wa kazi mtu wa karibu yangu anahitaji kibarua ni mwadilifu,mchapakazi na anampenda mungu.yuko maeneo ya ubungo.mwenye huitaji ani pm or anicheki 0654907899
\
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.