Natafuta kazi yoyote

Natafuta kazi yoyote

mbona povu!!??
Ulinitolea povu kwenye jukwaa fulan in blacket() ukajua JF ww tu ndo vistor wa majukwaa yote humu ila jaribu kuheshim post za watu na mungu atajalia neema pia ni PM ntakusaidia hata nispokusaidia kama inavyotaka ww ila ntakushaur!!@ 0ra
 
Ulinitolea povu kwenye jukwaa fulan in blacket() ukajua JF ww tu ndo vistor wa majukwaa yote humu ila jaribu kuheshim post za watu na mungu atajalia neema pia ni PM ntakusaidia hata nispokusaidia kama inavyotaka ww ila ntakushaur!!@ 0ra
hata sikuongea kitu kibaya
nilirekebisha sentensi tu.
sikuongea kingine zaidi ya ushauri
 
Habari zenu wakubwa,
Mimi ni msichana wa miaka 23. Naishi Dar/ Mbagala, natafuta kazi yoyote!
Kwa mawasiliano naomba uniPM
usikate tamaa dia mungu yu pamoja nawe ipo cku utapata kaz
 
Habari zenu wakubwa,
Mimi ni msichana wa miaka 23. Naishi Dar/ Mbagala, natafuta kazi yoyote!
Kwa mawasiliano naomba uniPM
Dah umri wa kukuoa kabisa huo
 
KILIMO KWANZA.
Bandugu mie nmefanya Investment kweny Kilimo aise.. Nmelima Vitunguu, Mpunga na nnafunga kuku wa kisasa vyote hivi vinahitaji pesa inafikia kipind una Invest pesa hadi unabakiw na hela ya kuzungushia kwenye Mradi tu na sio pesa ya kujikimu Binafsi.
Pamoja na kufany yote hayo huwez amin hapa nlipo ni Chauffeur wa Mzungu huko Mikocheni natafuta hela ya kula mimi tu. Amin Mungu hakuna mradi unaoweza kuendeshwa bila hela ya ziada kuingia KILIMO KWANZA
 
Duuh halafu wa Mbagala mwenzangu huyu .. Kuna Mzee anafungua Duka la Vinywaji vya jumla kule mitaa ya Ilala ntaulizia kama anahitaj mtu wa kusimamia then ntakupa Shavu dadaake by tomorrow..
 
Duuh halafu wa Mbagala mwenzangu huyu .. Kuna Mzee anafungua Duka la Vinywaji vya jumla kule mitaa ya Ilala ntaulizia kama anahitaj mtu wa kusimamia then ntakupa Shavu dadaake by tomorrow..
nitashukuru sana Mwenyezi Mungu atie wepesi
 
Bandugu mie nmefanya Investment kweny Kilimo aise.. Nmelima Vitunguu, Mpunga na nnafunga kuku wa kisasa vyote hivi vinahitaji pesa inafikia kipind una Invest pesa hadi unabakiw na hela ya kuzungushia kwenye Mradi tu na sio pesa ya kujikimu Binafsi.
Pamoja na kufany yote hayo huwez amin hapa nlipo ni Chauffeur wa Mzungu huko Mikocheni natafuta hela ya kula mimi tu. Amin Mungu hakuna mradi unaoweza kuendeshwa bila hela ya ziada kuingia KILIMO KWANZA
ngoja na mimi niwekeze kwenye kilimo kwakweli, na mji nahama soon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom