Star TV, UKAWA wapo Millenium Tower Live

Ushauri wako mzuri sana kamanda lkn ndani ya ukawa watu bado wanataka kuwapatia wale wazee(lipumba+slaa),
 
nimefikiri sana, jambo ambalo ni gumu sana kukubalika na CHADEMA, BADALA YA KUMUWEKA slaa awe mgombea, muwekeni lipumba na chadema wote na cuf mpigieni kampeni lipumba, tutaweza kumshinda kabisa magufuli, ila tukigawana kura kama kiwete alivyokuwa anasema jana, lipumba atachukua zake chache chadema chache na nyingi watabaki nazo kina maccm. chukueni ushauri huu. mimi ni chadema lakini nimefikiri sana namna gani tunaweza kumvunja shingo huyo nyoka anayeitwa ccm, nikaona bora tujifanye wajinga tu tumpe profesa.

Mkuu wazo la kuungana nalikubali vizuri kabisa, ila hebu elezea hapa, kwa chaguzi zote walizoshiriki ni kuwa Dr Slaa alipata kura nyingi zaidi ya Prof Lipumba. Sasa ni kitu gani kinampa Lipumba added advantage juu ya Dr Slaa?
 
Hatuchagui kwa kigezo cha upya wa mtu. Hatuangalii dini ya mtu wala kabila wala atokako. System ya CCM ndiyo imechoka na kuchokwa na imezeeka. Mtu mpya wa CCM ni kama kuweka kiraka kipya kwenye nguo kuukuu. Kiraka kipya kitachana nguo zaidi ya kuiimarisha! Inatakiwa kuoverhaul syatem yote. Dr. Slaa anatosha!!
 
Mkuu wazo la kuungana nalikubali vizuri kabisa, ila hebu elezea hapa, kwa chaguzi zote walizoshiriki ni kuwa Dr Slaa alipata kura nyingi zaidi ya Prof Lipumba. Sasa ni kitu gani kinampa Lipumba added advantage juu ya Dr Slaa?
added advantage ya lipumba ni kwamba kura zote za zanzibar zitaenda ukwawa kwasababu zanzibar wana udhaifu wa uislam hivyo wanampenda lipumba. pia kuna kundi kubwa la wabara ambalo hawapigii mtu kwasababu ni mzuri bali wanampigia mtu kwasababu ni muislam hasa profesa lipumba, udhaifu huo upo vichwani mwao na hawawezi kubaldilika kumpigia padre. wakristo ni waelewa wanaweza kuwa flexible wakampigia lipumba lakini ni tofauti kwa upande huo mwingine. hakika yake mkimuweka lipumba urais utaenda ukawa.
 
Hata sisi Team Lowasa tunangoja kwa hamu kumuunga mkono! Tunataka kuwahakikishia CCM kuwa kumsimamisha mtu ambaye hapendwi ni janga! Na tayari CCM wamechuma janga hilo!!!!
 
Tuliwahi kushauri huko nyuma,ili kuweza kwenda ktk uchaguzi wamoja basi ni vyema UKAWA wakatafuta sura mpya kabisa,asiwe Lipumba wala Slaa maana hawa hawauziki kwa wafuasi wa vyama washirika,mtadanganyana tu kwamba ooh tumweke Slaa au Lipumba kwasababu anakubalika wakati kiuhalisia,mmoja kati ya hawa anaweza kukubalika ndani ya chama chake tu lakini asikubalike na wale wa chama kingine,mtaishia kupotezeana muda tu na kuwapa nafasi CCM kushinda tena.Wekeni mtu mpya kabisa atakaeweza kuwa daraja la kuunganisha wafuasi wa vyama washirika.Ondoeni ubinafsi,wekeni maslahi ya UKAWA ambalo ndilo tumaini la Watanzania mbele.
 
Hatuchagui kwa kigezo cha upya wa mtu. Hatuangalii dini ya mtu wala kabila wala atokako. System ya CCM ndiyo imechoka na kuchokwa na imezeeka. Mtu mpya wa CCM ni kama kuweka kiraka kipya kwenye nguo kuukuu. Kiraka kipya kitachana nguo zaidi ya kuiimarisha! Inatakiwa kuoverhaul syatem yote. Dr. Slaa anatosha!!
Hivi unadhani Wazanzibar wanafikiri kama wewe?unadhani watampa kura Dr Slaa?Nampenda sana Dr Slaa na nadhani ana sifa za kuwa rais,ila sina uhakika kama atashinda.Tundu Lissu anaweza kuwa chaguo salama.
 
Kwaherini UKAWA basi la magogoni limejaa kwa vile mlihangaika sana kuliwania hilo basi sasa gwanda limejaa jasho nawashauri mkalifue na mtalivaa tena 2020 kama mtakua hai.Mimi siwachukii ila nawahurumia sana UKAWA.
 
Hivi unadhani Wazanzibar wanafikiri kama wewe?unadhani watampa kura Dr Slaa?Nampenda sana Dr Slaa na nadhani ana sifa za kuwa rais,ila sina uhakika kama atashinda.Tundu Lissu anaweza kuwa chaguo salama.
Hivi unadhani Wazanzibar watampa Magufuli kura? Kwa kigezo kipi? Kama wana sababu ya kumkataa Slaa, sababu hiyohiyo wataitumia kumkataa Magufuli. Watu wamechoka na system inayotawala! Kwa vyovyote afadhali iondoke!
 
Hivi Jukwaa la wakristo mbona hawajatoa tamko la kumtaka Dr Slaa? Kusimamishwa Dr Magufuli na CCM kwakweli CHADEMA hawana chao tena mwaka huu, walibebwa sana na Jukwaa hilo sasa imekula kwao tuonane 2025.
 
Habari za Jumapili wakuu.

Hadi sasa UKAWA wameamua kumsimamisha Dkt. W. P. Slaa kupeperusha bendera ya umoja huo Oct. 2015.
Kwa nini asiwepo Prf. wakati CCm wamesha weka Dkt.? au ndo miungu watu CHADEMA wanajifanya wamiliki wa UKAWA?
Hata kama siwaungimkono UKAWA katika mbio hizi ila ningejiuliza Prf. si ndio pigo muwafaka kwa Dkt. na mambo mengine tutajuana wanachama wenyewe kwa wenyewe.
 
Dr ana mtaji wa kura 2010 ikiwemo ya kwangu ....
Mkiweka tamaa pembeni dr slaa anafaa sana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom