Recent content by Encyclopaedia

  1. Encyclopaedia

    Maoni ya John Mnyika juu ya Kuvunjwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini

    Good Comments! Zitto naye aseme maana inaonekana yumo
  2. Encyclopaedia

    Kishindo cha BAVICHA mkoani Rukwa

    Viva Chadema
  3. Encyclopaedia

    Suala ya Pensheni laibuka Bungeni, Lissu na Zitto watoa hoja, Mhagama ataka lijadiliwe kikamati

    Tatizo ni ushabiki wa Vyama...CCM wako kichama zaidi Bungeni badala ya hoja...Sheria ya Mifuko ya Jamii ilipitishwa na Bubge kwa sababu ya uwingi wa Wabunge wa CCM na ndio walioipitisha... Tunaposema ilipitishwa na Bunge naomba tunarrow down tukumbuke kuwa wabunge wengi wa upinzani hasa CHADEMA...
  4. Encyclopaedia

    Tamko la Wapiganaji CCM Feb 10, 2010

    Mh, langu jicho
  5. Encyclopaedia

    Wema sepetu avishwa pete

    That's good...hata hivyo Diamond haendani kabisa na Wema......Wema na mwenzake Jokate ni ma - OPPORTUNISTS....wanasaka mahela
  6. Encyclopaedia

    Uchaguzi Mdogo Jimbo la Sumbawanga Kitendawili

    Nimejiuliza maswali kama hayo pia, then nikaingiwa na wasiwasi au kwa kuwa aliyetenguliwa ni GAMBAAA
  7. Encyclopaedia

    Maige: CCM itakufa

    Maige anatafuta huruma za wananchi
  8. Encyclopaedia

    Nape si mwanachama wa CCM

    It is too objective
  9. Encyclopaedia

    Mbowe, Dr Slaa kulitikisa Jiji la Dar Jumamosi Ijayo

    Mkutano uko Dar, Mbowe na Slaa wanatoka Kask, Marando ni Kanda ya Ziwa, Zitto Kanda ya Magh, Lisuu kanda ya Kati,Arfi ni kutoka Nyanda za Juu,,,,na wengine wengi mchanganyiko, still unaongelea ukabila....SHAME UPON YOUR FACE
  10. Encyclopaedia

    Nimefarijika sana....Asante sana Dr.Slaa...

    Inatia faraja sana kukutana na viongozi wa CDM.....yaani ukikutana na viongozi wengi wa CCM unaingiwa na chuki ghafla....sijui kwa nini aisee
  11. Encyclopaedia

    Kwa kauli ya nassari inabidi chadema wasitishe kwanza sera yao ya majimbo otherwise itatucost.

    It will be ok makamanda,,,,,ukombozi wa fikra hauji kama kuwasha mkaa kwa mafuta ya taa
  12. Encyclopaedia

    Kwa kauli ya nassari inabidi chadema wasitishe kwanza sera yao ya majimbo otherwise itatucost.

    Duh, jamani muacheni Mheshimiwa Nassari achape kazi.....that waz politics also na ametoa maelezo ya kufafanua nini alimaanisha kwa hatuba ile.....Hata hivyo maelezo yake yamefikishwa kwa DPP kwa hatua zaidi....naamini hana Kessy ya kujibu....ni mizunguko tu ya Chama Tawala katika kuelekea kufa
  13. Encyclopaedia

    Mhhh!! Irene Uwoya kuacha chuchu hivyo ni biashara au?

    This is the problem of Tanzania Artists.....kavaa nguo haimtoshi na inawezekana si yake, ukute kaenda Posta wahindi wakaomba avae ili kuwatangaza,,,matokeo ndo hayo (inamtela)....To me kuacha chuchu si tatizo naamini wewe uliyetuma thread unamuona sana Rihhana...kumbuka hatuko ndani ya yai
  14. Encyclopaedia

    Nimefarijika sana....Asante sana Dr.Slaa...

    That's the beginning.....yaani inatia faraja sana kukutana na Viongozi wa CDM....yaani ukikutana na viongozi wa CCM unahisi chuki ghafla
Back
Top Bottom