Shule nyingi hazina walimu wakutosha. Mitihani yenyewe machagilio mpaka hisabati. Kidato cha kwanza watoto hupelekwa baadhi hawajui hata kusoma. Kwa matokeo ya kidato cha Pili kuwa mazuri ni mipango, miundo na mifumo
Nina mtoto ana miaka 18 sasa. Toka akiwa mtoto anasubuliwa na fangasi wa kwenye ulimi. Yaani ulimi unakuwa unachanikachanika na wakati mwingine hawezi kula kabisa na anahisi maumivu Makali. Nimempeleka hospitari nyingi kila wakipima wanasema ni fangasi.
Shida ni dawa sahihi ya kutibu. Dawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.