Elimu yetu imejikita kwenye kukariri badala ya kutengeneza wabunifu. Miradi mingi tunayotekeleza ni ya “kupokea” — si ya “kubuni.” Tunapewa mikopo, hatuundwi kuwa wabunifu; tunafundishwa kutumia, si kutengeneza.
Kama taifa, inaonekana tunaundwa kuwa watekelezaji wa maagizo, si wabuni wa...
Ni nani anayechunguza polisi anaponyanyasa raia?
Ni nani anayemhoji polisi anapopoteza ushahidi au kupokea rushwa?
Ni nani anayemwambia polisi kwamba “hapo umevuka mipaka”?
Wazazi, walezi na watu wote wenye familia lazima tukumbuke kitu kimoja cha msingi: watoto wetu hawatusikilizi tu, wanatuangalia. Wanachunguza kila hatua, kila maneno, na kila namna tunavyokabiliana na changamoto za maisha.
Tunapovumilia matatizo, wanajifunza subira. Tunapopambana na hali ngumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.