Recent content by Emmanuel Adam14

  1. Emmanuel Adam14

    Hivi lengo la binadamu duniani hasa ni nini??

    Kuifanya iwe sehemu salama ya kuishi kwa binadamu wengine wanyama na mimea.!
  2. Emmanuel Adam14

    Wapi kuna mkopo riba nafuu dhamana kikwanja

    Ni changamoto kubwa saana kwenye jamii yetu.!
  3. Emmanuel Adam14

    Wapi kuna mkopo riba nafuu dhamana kikwanja

    Sasa si bora auze kiwanja kama kina dhamani ya hiyo 5m then aingize kwenye biashara kama ana uhakika nayo.!
  4. Emmanuel Adam14

    Are you living or Just surviving?

    Wewe ishi tuu swala la furaha au kufurahia maisha ni matokeo ya vile utakavyo ishi !
  5. Emmanuel Adam14

    Serikali Inatuandaa Tuwe Watu wa Design Gani?

    Elimu yetu imejikita kwenye kukariri badala ya kutengeneza wabunifu. Miradi mingi tunayotekeleza ni ya “kupokea” — si ya “kubuni.” Tunapewa mikopo, hatuundwi kuwa wabunifu; tunafundishwa kutumia, si kutengeneza. Kama taifa, inaonekana tunaundwa kuwa watekelezaji wa maagizo, si wabuni wa...
  6. Emmanuel Adam14

    Hivi nani ni Polisi wa Polisi!?

    Ni nani anayechunguza polisi anaponyanyasa raia? Ni nani anayemhoji polisi anapopoteza ushahidi au kupokea rushwa? Ni nani anayemwambia polisi kwamba “hapo umevuka mipaka”?
  7. Emmanuel Adam14

    Tusiache kupambana watoto wanatuangalia

    Wazazi, walezi na watu wote wenye familia lazima tukumbuke kitu kimoja cha msingi: watoto wetu hawatusikilizi tu, wanatuangalia. Wanachunguza kila hatua, kila maneno, na kila namna tunavyokabiliana na changamoto za maisha. Tunapovumilia matatizo, wanajifunza subira. Tunapopambana na hali ngumu...
  8. Emmanuel Adam14

    Chemsha Bongo 001

    Kumbuka upo kwenye sayari nyingine!!
  9. Emmanuel Adam14

    Chemsha Bongo 001

    Hivi ikuwa kwenye hiyo sayari unajuaje kaskazini ni upande huu!!
Back
Top Bottom