Wanaume pitieni hapa kuna kikao

Wanaume pitieni hapa kuna kikao

Ukikuta mtu kwenye simu yake ana jamii forum app basi ujue hyo sio mnyonge otherwise itakuwa umekosea njia huku ni ma great thinkers tu [emoji3][emoji3]
Great thinker bila pesa mkuu😃
Humu kuna waty wa kila aina mkuu!
 
Kuna baadhi ya wanawake wamevamia kikao chetu. Naomba mwongozo wa Mwenyekiti. Naruhusiwa kuwatoa nje?
 
Nzuri sanaa hiyo ila namba 8 kidogo inanipa mkakasiko, nitajitoa out na Nita enjoy vya kutosha ila pia nitawahudumia mke wangu na watoto wangu kwa kadr ninavyoweza, hata kama watakuja kunikataa kivyao vyao ila nitajitahid kuwahudumia na mm pia nitajitoa out za kutosha
 
Nzuri sanaa hiyo ila namba 8 kidogo inanipa mkakasiko, nitajitoa out na Nita enjoy vya kutosha ila pia nitawahudumia mke wangu na watoto wangu kwa kadr ninavyoweza, hata kama watakuja kunikataa kivyao vyao ila nitajitahid kuwahudumia na mm pia nitajitoa out za kutosha
Sijamaanisha hvyo mkuu nimemaanisha ukimaliza kutimiza majukumu yako kama baba au mume basi usijisahau unakuta mtu kuvaa havai vizuri kula hali vizuri kwasababu ya kuwekeza kupitiliza kwenye familia basi hicho kidogo unachopata jipendelee na ww usijisahau mkuu
 
Great thinker bila pesa mkuu[emoji2]
Humu kuna waty wa kila aina mkuu!
Ukimuona mtu humu hasa hawa wadada ni age go kweli kuna siku niliomba namba nikapiga simu baada ya kuongea akaniambia wewe mtoto mdogo unikome kuanzia leo ila wanavyochangia humu ni kama gen z ila ni mishangazi ndio maana wanahasira na visirani.
 
Prof J kasema mwenyewe vijana tutunze afya zetu, yeye ana Kiri alikuwa Anaishi maisha rafu sana, hakujali afya yake hasa akiwa na hela na washikaji zake.

Unajua Kijana mwenye hela kumshauri jambo wakati ana hela wewe huna anakuona kama umechanganyikiwa au unamuonea wivu tu
Tunza afya yako: wanasema afya ni ya kwako na msiba ni wa kwetu mwanaume tunza afya yako hakuna mtu atapoteza mda wake kukuuguza wewe Watoto watakukimbia licha ya kuwasomesha na mke ataolewa na mwanaume mwingine mzima, watu wengi maarufu huko mitandaoni walikuwa wanakejeli na kutukana wanapopewa ushauri wa afya za oleo wanaomba michango ya kufanaya dialysis
 
Habari za majukumu wapambanaji wenzangu,
Leo tukumbushane kidogo kwasababu kuna mambo yanaendelea kwa upande wa wanaume, na mengine nimeyashuhudia kwa macho yangu leo naomba niongee yafuatayo;

1. Usizalishe hovyo hovyo: mwanaume jitahidi ujenge familia, lakini ukishindwa kujenga familia basi tafuta mwanamke mmoja mkubaliane uzae nae, kuliko kuzalisha wanawake tofauti tofauti unakuwa na watoto Watano halafu kila mmoja na mama yake huo ni ujinga na utaona hasara yake baadae usiwe kama yule boss wa mawingu anayesifiwa alikuwa genius ila alikwama kwa kuzaa na kila mwanamke

2. Tunza afya yako: wanasema afya ni ya kwako na msiba ni wa kwetu mwanaume tunza afya yako hakuna mtu atapoteza mda wake kukuuguza wewe Watoto watakukimbia licha ya kuwasomesha na mke ataolewa na mwanaume mwingine mzima, watu wengi maarufu huko mitandaoni walikuwa wanakejeli na kutukana wanapopewa ushauri wa afya za oleo wanaomba michango ya kufanaya dialysis

3. Jenga mapema: usisikize maneno ya motivational speaker wanaosema nyumba sio asset ni liability ni bora uuguzwe ukiwa kwako kuliko kudhalilika kwenye nyumba za kupanga kuwa makini tafuta eneo jenga na ujiandae mapema na uzee kabla haijawa too late

4. Jithamini: yaani kuna wanaume leo hii wanapata nafasi za kazi na za kusoma nje ila wanaziacha kwasababu wanataka kuwa karibu na familia my friend hakuna familia inayomjali mwanaume ikitokea nafasi ya kukuinua basi usiiache ipotee fainali uzeeni usipoteze fursa

5. Kula vizuri: kuna kula vizuri na kula mlo mzuri mwanaume ukiwa na age yoyote ile ipuka kula vitu vya sukari na mafuta kula chips mara kwa mara, mwanaume ni dhaifu sana kwenye maradhi tunza afya yako usile kila kitu kuwa na miiko kwenye kula, hakuna tatizo la nguvu za kiume ni kubadilisha tu mlo na life style

6. Usisomeshe mwanamke wako hata awe wa ndao: yaani kwenye suala hili kila siku mambo mabaya yanatokea kama watu kuuwana na kudhuriana kama ilivyotokea pale kenya baada ya binti kumwagiwa acid, baada ya kumkataa mwanaume aliyemsomesha mwanamke hata awe wa ndoa sio ndugu yako punguza wenge MC pilipili na Nick wa II tumia kama references

7. Wekeza mapema : wanaume tunapoteza nguvu mapema sana hivyo Fanya uwekezaji mapema kabla nguvu hazijaisha kwasababu baadae utahitaji kuishi na nguvu itakuwa hauna tena kama huwezi kufanya biashara basi wekeza hata nyumba za biashara kama hotel,guest, na nyumba za kupangisha anza mapema

8. Usijisahau sana: kuna watu wanawekeza sana kwa familia kama mke na Watoto wanawapeleka shule za gharama lakini baadae wakiwa wakubwa na wakipata kazi wanawasahau wazazi wao, hasa wa kiume kwa hyo jipende ukipata hela tenga mda nenda mlimani city agiza msosi wa maana enjoy tafuta sehemu nzuri ya kupumzika nenda kapunguze Mawazo sio kila hela unayoipata unawekeza kwa mwanamke na Watoto hawana shukrani hao

9. Punguza umalaya: changamoto kubwa ya waafrika hasa watanzania ni umalaya, yaani Ngozi nyeusi tunapenda sana ngono nimeshangaa kwenye msiba wa yusuph manji licha hela zote alizokuwa nazo ila ameacha Watoto wawili tu, na hakuna vurugu za mali zimetokea kwa familia tupunguze ngono wazee ni hatari na inarudisha nyuma maendeleo

10. Usiache kuswali: kama wewe ni muislamu au mkristo kila mmoja kwa Imani yake basi aombe mungu kwasababu vita ni kubwa sana bila maombi ni ngumu sana, muislamu usiache Kwenda msikitini na mkristo usiache Kwenda kanisani hyo ndio njia pekee ya kuyashinda majaribu ya dunia

Alamsik muwe na siku njema
Uzi umenyooka
 
Prof J kasema mwenyewe vijana tutunze afya zetu, yeye ana Kiri alikuwa Anaishi maisha rafu sana, hakujali afya yake hasa akiwa na hela na washikaji zake.

Unajua Kijana mwenye hela kumshauri jambo wakati ana hela wewe huna anakuona kama umechanganyikiwa au unamuonea wivu tu
Ni kweli mkuu kuna jamaa anajiita professor Tony ilikuwa anakunywa pombe na maandazi ila sasa yamemkuta anaanza kuomba msaada mitandaoni
 
Ukimuona mtu humu hasa hawa wadada ni age go kweli kuna siku niliomba namba nikapiga simu baada ya kuongea akaniambia wewe mtoto mdogo unikome kuanzia leo ila wanavyochangia humu ni kama gen z ila ni mishangazi ndio maana wanahasira na visirani.
Kwakweli wadada wa humu wengi wameshazeeka, vijana wengi ndio tuko gado šŸ’ŖšŸ½ Pole sana mkuu kwa changamoto uliyokutana nayo! Siku ukihitaji wadada gen z unasema tukupe codes wenzio tunatoa wapi!
 
Ni kweli ila wanawake sio wahanga sana kama wanaume ndio maana ni mara chache kusikia mwanamke kajiua kwasababu ya mapenzi
Nimewahi shuhudia rafiki yangu akiwa na 36 hivi akapata presha kisa ndoa, mwanamke maisha yake yakaendelea.

Jamaa akaamua kuondoka na kumuachia mwanamke kila kitu, akaenda kupata mke mwingine akaanza maisha mapya.

Takribani miaka sasa, mwanamke mwaka jana akazaa na jamaa fulani mpumbavu tu, maisha yake yameharibika sana japo walivyoachana na mumewe mwanzoni alipendeza.

Sasa hivi jamaa yeye kastawi, na kitambi kapata. Ananiambia Alen amani ninayopata kwa huyu mwanamke nimechelewa saaana.

So ni kweli mwanaume ni looser mkubwa.
 
Kwakweli wadada wa humu wengi wameshazeeka, vijana wengi ndio tuko gado [emoji1434] Pole sana mkuu kwa changamoto uliyokutana nayo! Siku ukihitaji wadada gen z unasema tukupe codes wenzio tunatoa wapi!
Inabidi nifanye hvyo mkuu
 
Nimewahi shuhudia rafiki yangu akiwa na 36 hivi akapata presha kisa ndoa, mwanamke maisha yake yakaendelea.

Jamaa akaamua kuondoka na kumuachia mwanamke kila kitu, akaenda kupata mke mwingine akaanza maisha mapya.

Takribani miaka sasa, mwanamke mwaka jana akazaa na jamaa fulani mpumbavu tu, maisha yake yameharibika sana japo walivyoachana na mumewe mwanzoni alipendeza.

Sasa hivi jamaa yeye kastawi, na kitambi kapata. Ananiambia Alen amani ninayopata kwa huyu mwanamke nimechelewa saaana.

So ni kweli mwanaume ni looser mkubwa.
Kweli mkuu wanawake wengi tupo nao tu hvyo hvyo ila wengi ni vimeo mkuu
 
Back
Top Bottom