kuna kila haja na kuifanyia mabadiliko sheria ya gharama za uchaguzi (Election Expenses Act 2010) kabla ya 2015 election. kwa wale walio soma sheria hii watakubaliana na mimi inamapungufu makubwa sana na ina kilinda chama tawala.
Maoni yenu yatasaidia kuandaa comments ambazo zitakuwa forwarded...
Clouds FM, inavijana waliokimbia shule elimu yao haiendani na profession wanayofanya ni sawa na kijiwe cha mateja coz maongezi yao hayana tija wala mantki, so lets not take them serious its not among the media in Tz in the sense of a real media
Tamuchungu ajali ya meli haiwezi kuzuia justice isifanyike and it can never be used as a cover. tunasikitika kwa yaliyo wapata ndugu zetu but we still ahve to seek for justice.
Unachotaka kusema leo likitokea janga lingine tusahau ya meli kuzama? Elimu yak haitoshi au haikusaidii kufikiria kwa...
webondo namwenzio hamna akili, mimi nasikitika sana there are no enough doctors na serekali is just sitting. imeshindikana nini kuwaongeza mshahara na marupurupu. this is crazy
hilo ni tatizo la hearsay huyo kijana inaonekana hana elimu labda arudi shule au akawadanganye washkaji zake kijiweni...u cant go live on TV and talk such upuuzi
kwahiyo unachotaka kusema dogo CCM wanatumia madaraka kukandamiza upinzani? tulumbane kwa sera sna hoja siyo kwakutumia dola kukandamiza upinzani. 2015 CDM ndani ya mjengo na hatuta lipa kisasi ila mafisadi tutakula nao sahani moja tutahakikisha kila senti ya kodi ya mwananchi inarudi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.