Mnyika naye sasa amekuwa mropokaji na msahaulifu kama baadhi ya viongozi wake wa CHADEMA!
Mwigulu,Nape na January ambao ni miongoni mwa Vijana makini wa CCM na hazina ya viongozi wakuu wajao wa Taifa hili wamewafanya kina Mnyika na CHADEMA (sema SACCOS) yao sasa kuweweseka!
Tatizo lenu vijana mlioko CHADEMA mnadhani nyie pekee ndio makini,kumbe wengi mnabebwa na upepo tu hamna lolote!
Kwa jinsi hali ilivyo sasa hivi na jinsi Wtz walivyokata tamaa ukiona kijana wa CCM anaongea na kueleweka basi jua ana uwezo mara kumi ya Vijana Waropokaji wa CHADEMA aina ya Mnyika! Eti nalo mtabisha!
uharoo, umeongea we kama sio migulu we mbunge wa mtela