jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Wakuu heshima!!
Namiulizeni mnijuze hivi kesi ya mkenya wa kova anayetuhumiwa kumteka na kumtesa dr. Ulimboka itatajwa lini na iko mbele ya hakimu gani?
Kwa kuwa kesi hii ina mvuto kwa jamii tunaomba wanahabari siku ya kesi watupigie picha mtuhumiwa huyo tumtie nuruni,
Namiulizeni mnijuze hivi kesi ya mkenya wa kova anayetuhumiwa kumteka na kumtesa dr. Ulimboka itatajwa lini na iko mbele ya hakimu gani?
Kwa kuwa kesi hii ina mvuto kwa jamii tunaomba wanahabari siku ya kesi watupigie picha mtuhumiwa huyo tumtie nuruni,