HAMPHREY POLEPOLE.
Mkurugenzi mkuu wa TANZANIA YOUTH COALITION.
Ni NGO iko k'nyama dsm inayodai eti kuunganisha vijana wote tz.
Hawa jamaa ni pro-magamba mpaka wanaboa.
Ukitaka kushirikiana nao ni mpaka uwe pro-serikali ya magamba kama wao.
Wanaboa sana. Ni vijana lakini bado hawajafunguka ki-mtazamo.
Sijui ni vijana gani wanaowawakilisha, but it is very sad kwamba hawa ni stambling block against youth development in the country.
They disappoint alot.
Huyo kijana atakuwa anaatatizo ya akili
teh teh teh teh, kumbe U knw da guy, kweli ndivyo alivyo, me nilisoma nae" Mbuyuni primary" pale, alikua anatumiwa sana na walimu,. So ni mtu wa kutumiwa always! Nasihi ni gamba jingine linalochipukia..
"Leo Saa tatu na usiku (3:30) nitakuwa TBC1 kwa kipindi cha Lulu za Kiswahili nikizungumzia "nafasi ya Kiswahili" katika Mchakato wa kupata Katiba Mpya. Karibuni sana. Toa Maoni, Tupate Katiba Mpyahttps://www.facebook.com/hpolepole
Kuna kijana anaitwa Humphrey Polepole anaitetea serikali kwa njia ya mzunguko. Anasema si wajibu wa serikali kutoa ajira na Makampuni makubwa ya ndege duniani si ya serikali.
Swali langu: Nani kamtuma kusema haya?
Nashukuru ,natoa ahadi kuwa nitaanza kufuatilia nijinoe zaidiAnawakilisha. Mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya Katiba. Fuatilia KIPINDI CHA TBC1 " LULU ZA KISWAHILI" ameitwa kuelezea umuhimu wa kiswahili katika mchakato wa Katiba Mpya.
![]()