Profiles za majaji wapya

Profiles za majaji wapya

wimbi la mbele

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
647
Reaction score
269
GREAT THINKERS WA JAMII FORUM

Nauliza je kuna uzi ambao mmliwafanyia uchambuzi wa inn and out hawa majaji wapya wa mahakama kuu? Naungumzia hukumu zao zilizopita, nafasi yao kwenye jamii na mitazamo yao etc

nawaaminia sana wana JF najua mtakuwa mmewachambua vilivyo hawa majaji

naomba mwelekezo
 
wengi wao ni wa voda fasta tu kama aisha makongoro na yule rwakibalila wa lema
 
mmoja alikuwa principal wa Law school of Tanzania na kabla ya hapo alikuwa akiifundisha chuo cha Hija na pia amewahi kuwa Hakimu
 
Hakuna mwenye rulings zao hawa? Jamani where is JF ya ma GREAT THINKERS?
 
ni safu mpya ya walaji na hakuna jipya. Kama wanataka mahakimu na majaji safi watuulize sisi kupitia bunge kwa maana ya vetting process kama kenya wanavyofanya hivi sasa.................vinginevyo ni safu za kujuana bila ya kujali utendaji wao au hata maadili yao kwa jamii...........
 
Back
Top Bottom