Kibonde aiponza Wizara ya Habari utamaduni na Michezo

Wana JF kutokana na maneno aliyotamka mtangazaji mwandamizi wa kituo cha Radio mawingu(CLOUDS FM)Ephraim Kibonde katika kipindi chake cha Jahazi kuwa"Wabunge kutoka nje baada ya kukataliwa na Spika ni Utovu wa Nidhamu,:Kauli hiyo imekuwa chungu sana Maskioni mwa Wabunge ambao wamepanga Kuikwamisha bajeti ya Wizara hiyo hadi hapo atakapoomba msamaha,pia kitendo cha TBC kupika habari kimewakera wabunge wa CUF
Chanzo Mbunge

Clouds FM, inavijana waliokimbia shule elimu yao haiendani na profession wanayofanya ni sawa na kijiwe cha mateja coz maongezi yao hayana tija wala mantki, so lets not take them serious its not among the media in Tz in the sense of a real media
 
Kibonde ndo nani tena? Ni mbunge wa wapi? Mtera?

Ni Kibonde! ha ha haaaa...

Ila seriously Clouds wana tatizo, na kimtindo wanapoteza credibility. Hii imenikumbusha ya Zamaradi Mketema na 'nyumba' ya Wema Sepetu...
 
Huyu jamaa njaa itamuua, anaoan yeye ndo anajua sana mpaka awaone wabunge hawana nidhamu. Mpuuzi sana huyu jamaa!
 
SHULE JAMANI KIBONDE ANAHITAJI KWENDA HATA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI HATA KILE CHA ILALA WACHA, WING YA UDSM MIKOCHENI...HATA ISSUE YA MAGAKITARI ALICHEMKA MNO MPAKA WAKAMUUMBUA NA AFYA YAKE NDIO AKAOMBA RADHI, HUWA HANA UPEO WA KUFIKIRI NA UKOMO WA MAWAZO.
Mr Kusaga u need to wake up and have a closer look or guideline to ur presenters....!!
 
Media zinahaki ya kutoa opinion zao independently kwa kila tukio whether muhusika ni raia,rais mbunge ama yeyote,hawa wabunge sio malaika kiasi kwamba tusiwaseme wanapokurupuka,kama wamefikia kuapa kukwamisha bajeti kwasababu za kipuuzi na personal conflicts ni indicator kua wamepoteza focus na hawafanyi kilichowapeleka bungeni,hatukuwatuma kufanya upuuzi na kuanzisha mapambano na kila wasiempenda


Ndio media zina haki ya asili na kisheria kutoa opinion. Lakini ya Kibonde haikuwa opinion bali ilikuwa ni abuse, mockery, irrikutation call it what but remains to stay that what the guy was advocating was not objective, constructive nor informative. Sioni mantiki yeyote ya kuwashambulia wabunge wote waliotaka nje as a sign of disagreement halafu unalazimisha kusema kuwa spika alikuwa anasubiri taarifa. Je, kubaki kwao wabunge kwa utii wa spika na wasichangie chochote au wachangia ari mradi na huku wana wasiwasi labda aliyekufa ni jirani yake, ndugu yake au rafiki ingeleta tija kwa Kibonde na watanzania kwa ujumla. Ingekuwa na consolation kwa waliofiwa na kuumia? Yawezekana Kibonde ni talented kwenye maswala fulani lakini mengine awaachie wenye taaluma yao ndio watoe opinion maana kuna mambo mengine yanahitaji logic
 
Watangazaji aina ya KIBONDE ndio waliochochea machafuko ya Rwanda kutumia Radio. Huyu mtu ni hatari sana,kwa kuwa ana wasikilizaji ambao huwaambii kitu kuhusu Jahazi na KIBONDE. Tatizo wetu WaTanzania tulio wengi tunapenda kuchukulia mambo kiwepesi wepesi sana. Ila kuna siku tutaandika thread hapa za kutoa rambirambi kutokana na maafa atakayosababisha KIBONDE asipokanywa mapema.
 
Tatio sio Clouds FM, mi nadhani tatizo lipo kwa meneja wa kipindi cha Jahazi. Kama anaamua kukifanya kipindi chke kiwe cha uchambuzi basi ajaribu kuandaa mada nzuri na watoa mada husika wanaofanana na hiyo mada ili kutoleta mkanganyiko kama unaoletwa na Kibonde sababu kiukweli huwezi kuchambua kila kitu mpira upo, taarabu hupo,vichekesho upo, uchumi upo masuala ya jamii upo afya upo, elimu upo,siasa upo we utakua mtu wa namna gani usikosee?
 
william malecela,nape nnauye,mwigulu nchemba,lusinde=kibonde usijadli huyu mtu akili yake anaijua mkewe tu na clouds peke yao useless person
Wana JF kutokana na maneno aliyotamka mtangazaji mwandamizi wa kituo cha Radio mawingu(CLOUDS FM)Ephraim Kibonde katika kipindi chake cha Jahazi kuwa"Wabunge kutoka nje baada ya kukataliwa na Spika ni Utovu wa Nidhamu,:Kauli hiyo imekuwa chungu sana Maskioni mwa Wabunge ambao wamepanga Kuikwamisha bajeti ya Wizara hiyo hadi hapo atakapoomba msamaha,pia kitendo cha TBC kupika habari kimewakera wabunge wa CUF
Chanzo Mbunge
 
Nitajua hao wabunge wako serious siku nikiona wana ikwamisha bajeti hiyo kikweli!
Huenda huyu mpumbavu akajua kuwa redioni si mahali pa kutafutia bwana!

duh sijawahi kuona lugha kali namna hii kutoka kwa PJ, inaelekea kweli amekukera dah!
 
Sio yeye 2 kuna watu wengine huku mtaani wana mtazamo kawa wake msimlaumu sana.tofauti ni kwamba yeye mtazamo wake kausema redioni
 
Wana JF kutokana na maneno aliyotamka mtangazaji mwandamizi wa kituo cha Radio mawingu(CLOUDS FM)Ephraim Kibonde katika kipindi chake cha Jahazi kuwa"Wabunge kutoka nje baada ya kukataliwa na Spika ni Utovu wa Nidhamu,:Kauli hiyo imekuwa chungu sana Maskioni mwa Wabunge ambao wamepanga Kuikwamisha bajeti ya Wizara hiyo hadi hapo atakapoomba msamaha,pia kitendo cha TBC kupika habari kimewakera wabunge wa CUF
Chanzo Mbunge

Mnamsikiliza Kibonde! Mimi hata nikipewa na sahani ya chipsi nitachagua viazi vya Mbeya..Mpuuzi tu yule.
 
Back
Top Bottom