Mimi niehamia morogoro nkitokea DAR na decoder yangu ya Startimes antenna Ila haifanyi kazi kwa sababu ilisajiriwa kutumika Dar tu. Hivyo basi kwa mkazi wa Dar ambaye anatumia decoder za sasa ndogo na yuko tayari kubadilishana naomba anitafute. Faida ya decoder hii ni kwamba local channels...
Habari Wana JF, mimi napenda Sana na nina mpango wa kufanya biashara ya kuuza laptops soon. Tatizo ni kwamba sina details za kutosha Kuhusu biashara hii kuanzia uagizaji, kodi na faida Pamoja na mambo yote yanayoihusu. Kwa mwenye uzoefu na biashara hii Naomba msaada tafadhali na Nipo tayari...
Habari zenu wana JF,
Kuna laptops kutoka China nimeziona Alibaba jumla ya mzigo ninaohitaji ni US $ 336, uzito ni 4.9 Kgs.
Kwa mwenye uwelewa au uzoefu anisaidie kunifahamisha makadirio ya gharama ya bidhaa, usafiri, kodi hadi kunifikia mkononi.
Natanguliza shukrani
Kwani hizo mil 7 alizipataje hadi akasoma??? Aliyekwambia kujiajiri lazima ufanye kitu kinachoendana na taaluma yako ni nani. Masanja Mkandamizaji analima mpunga je alisomea kilimo??? Tatizo hao ndugu Zako wameshaamini maisha ni kuajiriwa tu ndo maana walipata mil 7 wakazipeleka chuo. Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.