Recent content by Emeka Onono

  1. E

    Nokia N8

    laki 8,nimekaa nayo inakaribia mwaka sasa,nauza kwa laki 4 kama unataka niPM
  2. E

    Tuongee na mengine

    Pumbavu ww! Hayo mengne kajadili huko kwenye majukwaa mengne sio hapa,ukiwa mgen piga hodi sio unaingia tu mpaka chumbani bushoke wewee!
  3. E

    People power & radar recruitment: Are they for us Or for wasting our time?

    arsenal,weka hapa contacts za hao agency ya msomali au niPM
  4. E

    Wazazi wangu wanataka kuachana, nifanyeje?

    hapo mbili usifanye hvyo,zidi kuwasihi au waache ila endelea kuwaombea na jf members 2ko nyuma yako,btw waweza kunipm tukaongea
  5. E

    mapenzi na ndumba

    duuh! Hii kali! Halafu ndio inakuaje? Idadavule mkuu
  6. E

    Urgent!!!

    mmmmh! Uzee tena? Kumbuka post yako uliyosema nawe utahitaj kama ma jery muda ukifika,sa hiz unasema uzee tena? Mwongo lazima awe na kumbukumbu
  7. E

    Urgent!!!

    deadly kilaza! Ahahaaa rose bwana! Haya mwaya
  8. E

    JF ni mambo yote nimepata mume hapa jamani nashukuru

    unasubiri nn? Anza mapema,au nawe unataka kuzima moto? Ebu nipm bibie tuanze ukurasa wetu mpya
  9. E

    JF ni mambo yote nimepata mume hapa jamani nashukuru

    wangapi wanafukunyuliwa bwana? Au mimba ndio ushahid ya kwamba amefukunyuliwa? Ahahaha,ila hiyo terminology yako? (kufukunyuliwa) ukinyambulisha unapata kufukunyua,kufukunywa,fukunyulishwa,lol!
  10. E

    JF ni mambo yote nimepata mume hapa jamani nashukuru

    miez 6 mbona inatosha kabisa! We umezoea kukaa miaka 4 halafu hajuna harusi,nakupongeza ma jery!
  11. E

    Teaching job

    mkuu matumbo mnalipa sh ngapi? Mi nafundisha masomo ya sayansi,niPM bas tuongee
  12. E

    Teaching job

    we senetor unamwambia udom? Wakat walishatangaza? Kama hajatuma maombi asahau!
  13. E

    Natafuta kazi ya ualimu

    toronto ya wapi hyo kaka? Canada au? Nami nahitaj mkuu,ntakupm
Back
Top Bottom