Recent content by Emaswai

  1. Emaswai

    SoC04 Tanzania tuitakayo - mabadiliko katika sekta ya elimu

    TANZANIA TUITATAKAYO MABADILIKO KATIKA MFUMO WA ELIMU. MUDA WA ELIMU. Kupunguza MUDA unaotumika kwenye mfumo wa elimu wa sasa wa Darasa la kwanza hadi Kidato cha Sita. Miaka saba (7) ya elimu ya msingi, minne (4) sekondari ya awali na miwili (2) sekondari ya juu ni mingi kulinganishwa na...
  2. Emaswai

    Wakati wewe unalia maisha magumu wenzako wanafanya haya..

    Kusafiri hakuepukiki mzee, shughuli za kijamii nyingi zitakulazimu tu usafiri hata kwa kukopa
  3. Emaswai

    Wakati wewe unalia maisha magumu wenzako wanafanya haya..

    Abood kashakula sana tokea awamu zilizopita kwaiyo watu wa kariba na hirimu yake hawawezi kukumbwa na ombwe la ugumu wa maisha unaolalamimiwa na walio wengi
  4. Emaswai

    Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

    Kk umenena, haina maana kufanya vitu visivyompa Mungu utukufu. Tujitaidi kufanya mapenzi kwa njia ya asili kwani tofauti ya hapo ni kujitakia usodoma na ugomora maishani mwetu na kwa Taifa letu[emoji4]
  5. Emaswai

    Vijana wazalendo kutembea kwa miguu kutoka Dar hadi Dodoma kumuunga mkono Rais Magufuli

    Sijaona mantiki hasa ya ulchotueleza na unachokusudia kukifanya, kwa nionavyo mimi haina haja kujitesa kiasi icho Yani utembee kwa miguu mpaka Dodoma?? Kumpongeza rais?? Tafuta namna nyingne mzee ya kufanya unachotaka, hyo ilfanyikaga miaka iyo kipind cha wafalme, machifu na watemi. Kwasasa...
  6. Emaswai

    Hatimaye ZIKA Tanzania ndani ya CCTV

    Huo utafiti wa Dr. Mwele ni kwa manufaa yetu, siasa na afya visiingiliane kwa kiwango icho
  7. Emaswai

    Safari itasonga Kwa msaada wa Mungu: Dr. Mwele Malecela

    Duuh... Nlkua sifahamu
  8. Emaswai

    WHO: Hakuna ugonjwa wa Zika Tanzania

    Well said
  9. Emaswai

    Safari itasonga Kwa msaada wa Mungu: Dr. Mwele Malecela

    Hapana, ana undugu na Mange Kimambi.
  10. Emaswai

    Paul Makonda: mtu atakayeumwa ugonjwa unaotokana na kutofanya mazoezi alipe gharama Mara mbili

    Nahisi ni katika kusisitiza tu watu wafanye mazoezi lakini mamlaka yake yana mipaka na sekta ya afya ina taratibu zake
  11. Emaswai

    Ni heri ya Lowassa!

    Uko kwa Fidel Castro tuachane nako kwakua tayari ni hayati afu hawezi kua suluhisho la mahitaji ya watanzania Ishu pekee ya kuisaidia Tz now is to bring back our lost freedom of speech & expression.
  12. Emaswai

    Safari itasonga Kwa msaada wa Mungu: Dr. Mwele Malecela

    Nadhani ni muda muafaka sasa wa kila mtanzania kupima mbichi na mbivu. Tumeelezwa sana kipindi cha uchaguzi na Prof. Kitila Mkumbo kua Utafiti hupingwa kwa utafiti. Alichokitoa Dr. Mwele Malecela ni utafiti, serikali haikupaswa kuupinga wangefanya na wao utafiti kuliko kukimbilia kumpinga na...
Back
Top Bottom