Ila mabasi yamenunuliwa.Hii Itakuwa ni promotion imekuja kwenye package ya thread
Kwani kujua Abood kaleta mabasi ni mpaka uwe mfanyakazi,mpambe au shabiki?Wewe ni abood, au mfanyakazi wake? au mpambe? au ni shabiki tu?
Mkuu kama ulikuwa kwenye akili yangu. Uzi huu ungekuwa Abood kauza mabasi kwa kuwa biashara mbovu ungekuwa na pages 150 sasa hivi tena wangeuweka jukwaa la siasa.Huu uzi ungekuwa unasema Abood kafilisika na magari yake yote kayapiga mnada uzi ungekuwa page ya 71
Lakini kaogeza gari imekuwa kama imewauma flani watu wanasema mitaani hamna hela huyu kapata wapi hizi hela za kununua hizo gari!
Vijana tunafanye kazi hizi hela wanazo miliki hawa wazee kama kina Abood, Mengi, Bahkresa tuzirudishe mikononi mwetu sisi vijana damu changa, tusikubali wao ndiyo wawe juu yetu, tuwanyangane kwa kufanya kazi na sisi tumiliki hizo mali
Unaweza kurithi kama huna akili ya kuendesha hio biashara inakufa.Hawa kina hood na abood utajiri wao wakurithishwa toka kizazi hadi kizazi,tangu nakuwa hawa kina hood walikuwa na biashara ya mabasi.Sio watu wakushindana nao hawa.
Kwani ugumu wa biashara ya mabasi unaletwa na nini hasa? Sio upungufu wa abiria? Upungufu ambao unasemekana umeletwa na maisha magumu awamu hii. Au Abood anaumba abiria wake?Abood kashakula sana tokea awamu zilizopita kwaiyo watu wa kariba na hirimu yake hawawezi kukumbwa na ombwe la ugumu wa maisha unaolalamimiwa na walio wengi
Kusafiri hakuepukiki mzee, shughuli za kijamii nyingi zitakulazimu tu usafiri hata kwa kukopaKwani ugumu wa biashara ya mabasi unaletwa na nini hasa? Sio upungufu wa abiria? Upungufu ambao unasemekana umeletwa na maisha magumu awamu hii. Au Abood anaumba abiria wake?
Huo wivu sasaWakat ww unamwona yule bwana km Mungu wengine tunamwona pichu tu
Bora usifie hata kama utaona wivu utakonda bure,hata kama ukiambiwa youtong moja itolewe taili zote uinunulie taili mpya ili iwe yako huwezi,sasa wivu wanini si bora usifie kamagar tamu sana hyoo .full wireless,,usb charge hatar sana..izo aina mpya ya yuotong
Hapo rushwa itatembea sanaAjira hizi za madereva,makonda na tingo wao zina zengwe balaa ,na zina wapambe nuksi balaa,wao ni zaidi ya tajiri
View attachment 448948
Mh Abood ameingiza magari aina ya Youtong mapya zaida ya 20
Watu tufanye kazi tuache kulalama
Mwenye nacho atazidi kuongezewa na ambaye hana hata kile kidogo atanyanganywa
Uchama utakuja kukuua siku moja. Mezuia ajira za watu halafu mnajifanya kujikosha humu JF. Siyo lazima waajiriwe na serikali ila kufuta ule utaratibu wa mwanzo mnaonesha kwa jinsi gani mna roho mbaya sana. Miaka 55+ ya uhuru lkn hali ya nchi inazid kuwa mbaya sana. Meifanya hii nchi kuwa maskini sana. WW UMEAGIZA MAGARI MANGAPI? Tangia ulipopewa kofia na Tshirt basi akili yako imekuwa km maziwa mgandoTatizo bavicha wanafuta sana vumbi la viatu vya Lowasa hadi akili zao zimedumaa
Uchama utakuja kukua ww. Kila kitu ww ni siasa tu tena za majitaka. Nyie meagiza mangapi? Mewafanya vijana wengi kuishi ktk maisha magumu. Siyo lazima kuajiriwa na serikali lkn usitazame kundule la mwenzako wakati lako lina kidonda na linatoka damu.Wanamtafuta saa 8 kwanza ... Baadae watakuwa na 'kata funua' wakati wenzao wanafikiria opposite kabisa. Ukiwaita hapa watakwambia eti wenye mabasi wanafirisika kisa abiria hawana pesa, sasa unajiuliza na haya mapya ya kazi gani?