barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Dah, nimejimiks.Duu mikumi ya wapi mkuu unayo ongelea wewe?? Kwenda dodoma kuna mikumi kutokea dar??? Sina hakika labda bado nahitaji kuongeza jiografia kichwanikichwani.
Dah, nimejimiks.Duu mikumi ya wapi mkuu unayo ongelea wewe?? Kwenda dodoma kuna mikumi kutokea dar??? Sina hakika labda bado nahitaji kuongeza jiografia kichwanikichwani.
joblesssHabari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
Hivi hii ni serious au kinyume chake?
Watu kama nyie inabidi mkamatwe mtandikwe viboko,nyie ndio mnaoturudisha nyuma.
Halafu Max anateseka kupigania uhuru wa maoni na villaza kama nyie mkiwepo.
Sijaona mantiki hasa ya ulchotueleza na unachokusudia kukifanya, kwa nionavyo mimi haina haja kujitesa kiasi ichoHabari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
rubbishHabari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
Mtakuwa ni vichaa mlliologwa na aliyewaloga ameshafariki!!!!Habari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
Habari wana jamvi, mimi AUGUSTINO CHIWINGA nimeamua kwa pamoja na vijana wenzangu kufanya matembezi ya kizalendo kutoka jijini Dar Es Salaam, hadi mkoani Dodoma yalipo makao makuu ya nchi yetu kwa miguu ikiwa kama ni njia ya kumuunga mkono mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli, kutokana na hatua anazochukua kupambana na mafisadi na wala rushwa.
Tumeona katika kipindi kifupi cha uongozi wake ameweza kufanya mambo mengi mazuri kama kuongezeka kwa makusanyo ya mapato ya kila mwezi, utoaji wa elimu bure, ufufuaji wa shirika la ndege la Air Tanzania, suala la madawati ununuzi wa vitanda vya wagonjwa muhimbili, utengenezaji wa mashine za CT-Scan na MRI pamoja na mambo mengine mengi.
Matembezi hayo ya kizalendo yanatarajiwa kufanyika mapema mwakani (2017) na kama wewe ni mzalendo unakaribishwa kuungana nasi kwa kuwasiliana kupitia namba 0756810804 au kupitia barua pepe (E-Mail) augustino162@gmail.com.
Karibuni katika matembezi ya kizalendo 2017.
Teh teh teh teh teh tehHongereni
Umoja wa Kumpongeza Magufuli (U......A)
....wanapitia fire.au daraja mbili
We mwizi upo??Hivi hii ni serious au kinyume chake?
Watu kama nyie inabidi mkamatwe mtandikwe viboko,nyie ndio mnaoturudisha nyuma.
Halafu Max anateseka kupigania uhuru wa maoni na villaza kama nyie mkiwepo.