Sikieni nyie mbona mnabisha kitu ambacho kipo wazi kuna tofauti ya miaka ya kumaliza pale someni vizuri afu wa 2016 mwenye DE ,AE,CE,BE,haendi popote labda upige diploma na huko wamekaza ila mwenye DD,AA,BB,CC huyo anakwenda chuo kakizi vigezo sasa wewe baki unashangaa shilingi inazama afu meli...