Dawa ya mjeuri ni kuwa jeuri zaidi yake, tafuta mwenzie mzuriiiiiiii, mwachie kila kitu we sepa, ila vitu vyote andika majina ya wanao, hakuna haja ya kupigana siku hizi maana maisha tu yenyewe ni kipigo tosha
Huna haja ya kumuumiza maana hutakiwi kulipa baya kwa baya, jifunze kusamehe na haijalishi uliumizwa kwa kiasi gani! Pengine huo ni mtihani uliopewa na kipimo ili baadae uje upate hesabu nzuri mbinguni! Mshinde shetani, akirudi mkaribishe kwa upendo, mwambie nimekusamehe maana ulikuwa hulijui...
Wabongo kweli ni ma snitch, kwani iliwahi kutokea kesi ya ubakaji? Kuna mtu aliwahi kulalamika kubakwa? Sasa how umchome mtu kwa boss afukuzwe kazi na usawa huu? Acheni hizo jamani!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.