Recent content by Emanuel14

  1. E

    Nini kipo nyuma ya mafanikio ya Lady Jay dee

    Ni mwanamuziki Wa ukweli mwenye ujumbe mahususi .
  2. E

    Tanzia: Nimempoteza baba mzazi leo mchana Muhimbili Hosp

    Pole sana, mkuu. Let our father rest in peace. Pole sana Mungu awatie nguvu zaidi kwa kipindi hiki kigumu, kwa mtazamo wa wanadamu.
  3. E

    Yasome haya yatakusaidia katika maisha yako

    Umesema vyema ubarikiwe mkuu.
  4. E

    Msaada tafadhali:Kwa anemfahamu Geoge John Mbena.

    Samahani labda nimetumia jukwaa silo ila naomba mwenye kumfahamu mtajwa hapo juu au ndugu yake yeyote ani pm. Kuna mambo ya msingi ya kufanyanyia kazi. Sio lazima ujibu kama haikuhusu ni bora uache.
  5. E

    Mgomo wa EFDs: Kilichopo nyuma ya pazia. Serikali isimame IMARA

    Acha wagome tu maana hata hiyo kodi kidogo wanayopata hawaitumii ipasavyo. Hopitali hazina dawa, umeme sio wa uhakika, barabara mbovu basi taabu tu, wao kila siku tuongeze kodi kwa manufaa yao na familia zao. Mgomo uendeleee,
  6. E

    Taja Jina Lake na Madhila Yaliyompata

    John f kennedy alikuwa rais wa America aliuwa kwa risasi.
  7. E

    Taja Majina Yake Rasmi Matatu. Alikuwa Nani Katika Nchi Anayotoka?

    Rashid Mfaume Kawawa, anatokea Tanzania
  8. E

    Dr Bahati Kaluwa katutoka

    R i p docter. Mungu awatie nguvu familia ya dr, kwa kipindi hiki kigumu.
  9. E

    Wa mikoani.

    Dar ni jijini, Arusha pia ni jiji, hivyo kuna tofauti kati ya jijini na mkoani.
  10. E

    Vodacom ni wezi,?

    Nilikuwa nauliza kwanza bwana, Mzaramu sio kila kitu tu polisi mengine yanazungumzika.
  11. E

    Vodacom ni wezi,?

    Jamani hawa voda ni wezi, sana leo nimeweka kiasi fulani cha hela ili niweze kujinga na kifurushi, sasa baada tu ya kuingiza vocha salio likasoma sawa sasa ikawa kila ninapojiunga simu, inasema huna salio nikaona niangalie tena salio kwa kuwa sikupiga, na wala sikuandika sms,. Nikaona ni bora...
  12. E

    mimi simo

    We jamaa mi nilikuwa najua zinakutosha, kumbe na wewe sawa tu na wale.
  13. E

    Tafuta mnyama kwenye hii picha

    Chui anaonekana kichwa pembeni upande wa kulia wa mti kwenye nyasi.
Back
Top Bottom