Jamani hawa voda ni wezi, sana leo nimeweka kiasi fulani cha hela ili niweze kujinga na kifurushi, sasa baada tu ya kuingiza vocha salio likasoma sawa sasa ikawa kila ninapojiunga simu, inasema huna salio nikaona niangalie tena salio kwa kuwa sikupiga, na wala sikuandika sms,. Nikaona ni bora...