Tatizo la wabunge wetu hawao kwaajiri ya maslah ya wananchi swala linapotokea la kumkandamiza mwananchi wao no ndiooooo likitokea la kuwabana maslah yao wanakuwa mbogo yote kwa yote wabunge wetu ni wasaka tonge tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.