Vipi kuhusu Jonannesburg?
Na sababu ya kuwa na three Capital cities, ni kwamba katika mihimili mitatu ya Dola kila mhimili una makao yake makuu tofauti...!
Hakunaga ombwe la u-Rais, inabidi kuvumilia, Rais anamkabidhi Rais.
Isipokuwa kipindi hiki walipaswa kupunguza baadhi ya Raslimali za serikali, na badala yake zitumike za chama. Nadhani kwa kuliona hilo, ndiyo sababu Tume (INEC) ikaja na ubunifu wa kugawa magari kwa wagombea wote wa u-Rais.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.