Recent content by EMACHA

  1. E

    Breaking news: Lipumba atimkia CHADEMA

    Kumbe leo ni Aprili Mosi, eeeh..!!!
  2. E

    Je, unakijua kikosi cha KM?

    Kikosi Maalumu cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKGM)
  3. E

    Hii ndio sababu kwanini wazazi wanaosomesha Private schools wanachukia Division 1 za Kayumba Schools

    Halafu wote hao (Kayumba & EM's) wanakutana vyuo vikuu na ngoma inakuwa droo!
  4. E

    GE2025 Nchimbi: CCM Itahakikisha Katiba Mpya inapatikana

    Mzee wa kuona mbali huyu......kaiona 2025 akiwa 1995
  5. E

    Uongozi wa rais na wabunge usiwe na muda maalumu akifanya vibaya apigwe chini hata ndani ya mwaka mmoja akifanya vizuri aendelee hata miaka mia

    Huo ukomo wa uongozi ni muhimu uwepo, miaka 5 au 10; lakini isiwe guarantee, yaani akiboronga apigwe chini kabla ya kufikia ukomo huo..!
  6. E

    Elimu na maarifa ya ziada

    Vipi kuhusu Jonannesburg? Na sababu ya kuwa na three Capital cities, ni kwamba katika mihimili mitatu ya Dola kila mhimili una makao yake makuu tofauti...!
  7. E

    Humphrey ahukumiwe kifo in absentia

    Apelekwe shule ya uongozi akafundishe!
  8. E

    GE2025 Ni Kwanini Rais aliyepo Madarakani anafanya kampeni wakati bado Yuko Ikulu?

    Hakunaga ombwe la u-Rais, inabidi kuvumilia, Rais anamkabidhi Rais. Isipokuwa kipindi hiki walipaswa kupunguza baadhi ya Raslimali za serikali, na badala yake zitumike za chama. Nadhani kwa kuliona hilo, ndiyo sababu Tume (INEC) ikaja na ubunifu wa kugawa magari kwa wagombea wote wa u-Rais.
  9. E

    Asili ya majina Mikocheni, Masaki na Kariakoo

    "Vingunguti" ni vitu gani?
  10. E

    Kama CCM ni chama cha watu wajinga, imetokeaje watutawale zaidi ya miaka 60?

    "Wajinga" nao wanakuwaga na akili....!
  11. E

    Kama CCM ni chama cha watu wajinga, imetokeaje watutawale zaidi ya miaka 60?

    TAL alisema tutakinukisha, hatukumueewa...Mapinduzi yataanza na CCM ndaa kwa ndaa..!
  12. E

    21st to remember. Tarehe 21 ya kukumbukwa.. A count down!

    21.08.2025 saa 2:00 2+1+0+8+2+0+2+5=20=2+0=2 Namba 2 inawakilisha asili, nguvu, ujasiri na matumaini.
Back
Top Bottom