Recent content by elyzupa

  1. E

    Mume na mtoto wa Kike.

    kweli elimu kwa hawa wanaume inahitajika,hawajui tu kwamba wao ndio chanzo cha mtoto kuzaliwa ke au me!!!!!
  2. E

    Kwenu kina dada: Mavazi yepi mwapenda wenzenu wavae

    napenda my boy avae shirt hasa la mikono mirefu,suruali ya kitambaa,na achomekee mkanda nje,thn akiwa juc hom,avae pensi ila si fupi,like thoz wanaziita psquare,na tshirt na viatu vya wazi.
  3. E

    Jina la mtoto wa kike linaloanzia na herufi "C"

    i like da names,charity and charlene.
  4. E

    Shule nzuri kilimanjaro region

    shule nzuri kwa boys,in kilimanjaro most of them ni seminary,like uru seminary,maua,st.james.
  5. E

    DUCE Family on JF - Special Thread

    hahahaha,msiogope jamani,things are easy kama umejipanga.kwa wale first year wanaosoma linguistics,karibuni kwenye page yetu in facebook,DUCE LINGUISTICS POINT,you will gain alot of things concerned language.mnakaribishwa sana.
  6. E

    DUCE Family on JF - Special Thread

    hapa ndo kwanza ni mwanzo,bado semina hazijaanza na kutangaziwa test,watu si kupigana vikumbo kwenye kordo,hahahaha!!!
  7. E

    Natafuta shule ya Sekondari za wasichana O'level

    kwa shule kama anwarite,na nyngine za kidini form zinapatikana msimbazi centre au shuleni kwenyewe,it does'nt matter whre you are.over.
  8. E

    Wanaduce na udsm kwa ujumla!!! Au yeyote mwenye idea abt ths...

    ucjali,kama umepata asilimia mia,kuna other university costs,kama 77400, kama cjakosea ambayo ina inclde identity card,bima ya afya na vitu vingine,wch u must pay them,.
  9. E

    Wanaduce na udsm kwa ujumla!!! Au yeyote mwenye idea abt ths...

    lazma ulipe,coz bum kwa first year huwa linachelewa kdgo,ila kama una pa kuishi ukitegea bum ts owky,ila kumbuka kuna deadline ya kulipia accomodtn,ukichelewa wanapewa wengine,kwa ushauri wangu,lipia kwa pesa zako,thn bum likitoka utareplace.
  10. E

    DUCE Family on JF - Special Thread

    hey,first year,kuna ambaye anaenda kusoma linguistics au literature?
  11. E

    DUCE Family on JF - Special Thread

    wamedisco coz of GPA or kuna some other mistakes wamefanya?
  12. E

    Course bora kwa mwana art aliepasua vizuri

    tambua uwezo wa kifedha kwenu pia,coz most of da courses whch belong to artists are non priority,keep it in ur consideration ucje ukahairisha mwaka bure the end of the day.
  13. E

    DUCE Family on JF - Special Thread

    anaeiponda fani ya ualimu,si ajabu kaishia darasa la saba,xo haelewi anachosema,coz an intellectual cn never argue on such thngs,i hv doubt on that,samahani lakini.
  14. E

    DUCE Family on JF - Special Thread

    hostel za duce ni chache sana,wengi mtapelekwa mabibo hostel au mbagala,ila mnakaribishwa pia off campas kama utashindwa shida za usafiri za huko,ila keep in mind,ukilipia hostel mabibo semester ya kwanza,ni lazima semister ya pili ulipie tena,Keep in ur consideratiom.
  15. E

    DUCE Family on JF - Special Thread

    ndgu,kwa science duce una nafasi kubwa sana ya kupata mkopo.ila hakuna baed in science bhana,tuna Bsc.karibuni sana duce.
Back
Top Bottom