Habar za jion wapendwa
Niend moja kwa moja kwenye maada kama kichwa kinavyojieleza mim ni binti wa miaka 20 nimepatwa na ili tatizo la kuumwa kiuno awali nilipima nakugundulika kuwa nina PID nikapewa dawa ambazo nimekunywa week 3 lakin kiuno kinaniuma mno , nimekuja apa niombe msaada nifanyaje...
Niend direct kweny maada
Kuna binti nmetokea kumpenda sana nmeanz nae mahusiano mwaka jana tumekua tukiendlea vzur san lakin siku ya jana cjamuelew kabsa aliniaga anaenda kukutana na kaka ake Kurasin mida ya saa 1 ucku na atarud saa 2 ucku lkn mpk saiz bado hajarud nlijarbu kumpgia cm mara6...
Polen na mihangaiko ndugu zangun
Niende moja kwa moja kweny maada husika nlikuwa najarb kuwaza ivi ni nani anaweza kuwa mchezaj bora msimu huu wa 2018/2019 katka TPL ? na ukiangalia ligi inaelekea ukingoni. Kwa mtazamo wangu nadhani Ibrahim Ajibu Migomba kwa kuzingatia takwimu zake mpaka saiz...
Habar za muda huu wana jf
Mimi ni kijana wa miaka 25+ niende moja kwa moja kwenye maada ndoto yangu kubwa ni kuwa soldier tokea nikiwa mdogo nilikuwa nataman san kuwa mjeda ila muda ulikuwa hujatimia ila kwasas naona ndio muda mwafaka baada ya kuhitim shahada . lengo LA hii thread ni kutaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.