Kuna raha gani ya kuitwa mkarimu wakati Mke na watoto wako wanakuona bahili kwao?
Cha kwanza mshirikishe Mkeo hayo mapato yako itakusaidia kutotoa ovyo pesa lakin atakukumbusha matumizi ya lazima kabla ya kutoa pesa.
Pili Wekeni pasent labda 7% ya mapato Kwa mwezi ndio itatumika kutoa msaada...
Kaa na mtoto vizuri huenda kuna maneno walimu au wenzake wanakuwa wanamwambia yanamvunja moyo. Pata hata mwanasaikolojia akusaidie. Nilipeleka binti memkwa ajue KKK walau. Baada ya mwezi nikaona hakuna nafuu YOYOTE. Nikawanatumia mkali nikafikiri anazembea. Nilipofanya uchunguzi vizuri...
Ukitaka kubadilishakitu chochote jiangalie wewe na ufanye mabadiliko. Mwenye kujenga au kubomoa nyumba ni mke.
Siri hii Ni kubwa lakin inawezekana kwa aliyetayari.
Binafsi nilipitiliza hadi 42 weeks na nilijifungua normal.
Akazane mazoezi sana. klinik ya mwisho niliambiwa placenta inanyauka so opp nifanyiwe.ilikuwa ijumaa dr akasema niwahi j3 aniopp but j2 nilijifungua salama.
Mi niliona pia face book nikapiga simu aliepokea alikuwa dada akanambia hawana hilo tangazo facebook.
Wao wanapatikana posta jengo linaitwa Patel.
Kama unaweza nenda mi sijafanikiwa kwenda bado.
Hongera kwa maono hayo.
Ili ufanikiwe jitahidi kuzuia magonjwa na so kutibu.
Wachanje chanjo zote muhimu kwa wakati.
Kideri Kuna chanjo, gumboro pia na ndui ina chanjo.
Ushauri wangu kwako tafuta elimu kwa wataalam hata Kama itakuwa Ni ya kugharamia Ili upate maarifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.