Kulupura
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 3,052
- 1,183
MashineKAma alivyoimba Msaga sumu
MashineKAma alivyoimba Msaga sumu
Nikweli aiseeeUnazungumzia Miaka ya 1990 kushuka chini? ila wa sasa pesa mbele kama tai,hata ukipaka PUTURU/CONGO POWDER/UKASIMAMIA KUCHA/SHOW ZA KIBABE kama huna hela imekula kwako UFUNDI NI VETA TU.
Kwenye kujali huwa mnamaanisha mtoaji wa hela, hakuna kingine.Muda wake kujali kwake na perfomance yake
Hela haipo na kasema mwny madaKwenye kujali huwa mnamaanisha mtoaji wa hela, hakuna kingine.
Ukipata jibu mkuu naomba untag! Shkamoo lakini!Naomba wadada mnijibu
Unatujibia? Au Na wewe ni mdada?1. Personality (altitude, behaviour, e.t.c.)
2. Perfomance on bed
2 huja baada ya 1.
Ngoja Miss Natafuta aje na jibu hapa la kisa cha kukukataa wewe tajiri na feza zako na kunipenda mie fukara!Naomba wadada mnijibu
MashalaaaPoa nimesimama
Unatujibia? Au Na wewe ni mdada?
Marahaba hujambo!Shikamoo.
Kuna limama flani mme wake ana ela ya kufa mtu lakini anachapwa na fundi zege.Wape pesa mkuu