Recent content by Eliza Green

  1. Eliza Green

    Jamani wanaume heshimuni sana wake zenu

    Hiyo tu ndo dawa yao.
  2. Eliza Green

    Aisee... imenibidi nicopy na kupaste tu

    [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] siku nyingine usirudie kujisifu
  3. Eliza Green

    Nini kinatokea 'ukimpotezea' mwanamke?

    Ni sawa na kumpiga teke chura hili kumuongezea mwendo.
  4. Eliza Green

    Kila siku visingizio ni kazi

    Saizi nina mimba ya miezi 7,rudia posti Jane koku
  5. Eliza Green

    Kila siku visingizio ni kazi

    Nimependa ushauri wako sky eclat
  6. Eliza Green

    Kila siku visingizio ni kazi

    Nashukuru paulo sergio de souz
  7. Eliza Green

    Kila siku visingizio ni kazi

    Asante bonny
  8. Eliza Green

    Kila siku visingizio ni kazi

    Ndugu zangu wa forum naombeni ushauri,mimi ni binti wa miaka 21, niko kwenye mahusiano na mwanaume ambaye ni mchumba wangu bado ajanioa lakini tunaishi pamoja ni miaka 2 sasa na tunafanya kazi idara moja, na ninavyo ongea nina mimba yake ya miezi 7, kwa bahati nzuri au mbaya huyu mwanaume...
  9. Eliza Green

    Polisi waanza kuisoma namba ya Mh Rais!

    Ufurahie pia watakapo ungana na panya road.
  10. Eliza Green

    Maajabu ya mimba ya huyu mwanamke

    Duh umenikumbusha mbali sana, mimba yangu ilinipeleka sana, nilikuwa napenda sana kufanya mapenzi lkn mume wangu alikuwa hataki kabisa yaani ikawa inafikia stage nahisi ananisaliti!!!! Lkn namshukuru mungu mimi sikuwahi msaliti nilijua ni kwanini ?jamani mimba ni kibokooooo
  11. Eliza Green

    Maajabu ya mimba ya huyu mwanamke

    Hiyo ilikuwa lazima afiche na kujuzuia watu wasijue, lakini yule aliepata mimba kialali kabisa lazima uone vibwanga vyake.
Back
Top Bottom