Ndugu zangu wa forum naombeni ushauri,mimi ni binti wa miaka 21, niko kwenye mahusiano na mwanaume ambaye ni mchumba wangu bado ajanioa lakini tunaishi pamoja ni miaka 2 sasa na tunafanya kazi idara moja, na ninavyo ongea nina mimba yake ya miezi 7, kwa bahati nzuri au mbaya huyu mwanaume...
Duh umenikumbusha mbali sana, mimba yangu ilinipeleka sana, nilikuwa napenda sana kufanya mapenzi lkn mume wangu alikuwa hataki kabisa yaani ikawa inafikia stage nahisi ananisaliti!!!! Lkn namshukuru mungu mimi sikuwahi msaliti nilijua ni kwanini ?jamani mimba ni kibokooooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.