Me nakula miwa mpaka usiku na nyama au maini ya kaangwe na kitunguu tu afu kisiive vizur naamka mpaka usiku sana kula na nalala na maji pembeni full ruti za toilet nalala nusu nusu unasikia tu mara teke mara ngumi ya kibofu lazima uamke tu nikishusha huyu kiumbe nitashukuru niko hoi kweli
