BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Kwanini umwambie unampenda halafu umpotezee? Unadhani hakuna wanaume/wanawake wengine ambao wanammezea mate na kutaka kuwa naye kama mpenzi? Utakuta vumbi tu kisha ubaki kujilaumu.
Niliwahi kusoma 'utani' mahali kwamba; Kama unataka 'kumuua' mwanamke, basi mwambie unampenda kisha usiongee nae tena!!(Tell her you love her,then ignore her!)
Lakini, je ni kweli mwanamke 'anaekushobokea' ukimpotezea anazidi kukushobokea zaidi?
Vipi kuhusu wanaume; mwanamke unampenda lakini anakupotezea licha ya kumwonyesha unampenda, je utazidi kuumia juu yake au?
*Can this trick be used to make women/men get attracted to you?