Usiniii nikitu cha akili unaongojea report ambayo wakuu wameshapewa wakajidhirisha kuwa inawapa kikiiii na inaenda nawanachotaka ndio mnatangaziwa mwangalie ..tutumie kariongo wew kapige kazi wacha vidume visuguane..Ila nia ya mkuu ninjema sana
Sio watanzania wote alfu kingereza nilugha hivyo kujua au kutojua sio ugonjwa kwani ulizaliwa uongee lugha zote angekuwa hawezi kiswahili hapo sawa..kingereza nilugha ya waingereza ...
Nikweli maisha ni magumu kipindi hiki ila watanzania tunaishi maisha ya kukariri hatupendi sana kubadilika. Unakuta mtu anabiashara inamnyonya tu haoni faida lakini bado anaikopea anateseka kurudisha mikopo kwa mfumo huo huwezi ona hela usione aibu kufunga biashara nakwenda kufanya kitu kingine...
Shida sio kukusanyika shida take hakukaribishwa yeye angekaribishwa yeye asingesema chochote..ni aibu sana watu wanashindana kwa kickIf someone asked you, 'What are you living for,' how would you respond? That is, what is your goal or your objective in life? Everyone is living for something...
Arusha ni mji bora sana nilazima uchangamke sana gharama zamaisha arusha nijuu sana ..nyumba juu mpaka mitaani hii huchangiwa na wageni wengi.utalii na madin ya tanzanaiti hivyo hakuna kupatana sana biashara ni short cut bei fluni kwisha hakuna hadisi ndefu sana
BWANA YESU ASIFIWE WAPENDWA!!!.
Naanza kutoa pole kwa watu wote tulioguswa na msiba huu wa watoto shule uliotokea huko Karatu katika ajali ya barabarani.
Tunawapa pole kwa familia ndugu na jamaa wa Marehemu na wote waliofikwa na msiba huo.
Pia naomba pata muda kidogo wa kufanya toba kwa...
Nilikuwa nataka kuuliza hivi mwakilishi wawananchi aliyechaguliwa na wananchi anaweza kufukuzwa kama mfanyakazi wa kampuni..kwanin viongozi wetu hawafwati katiba..
Kwa wasio jua Hilo eneo unaweza fikiri niuzembe ila liko namlima unaohitaji adabu kubwa sana sasa yawezekana kwa ugeni wadereva ndio yo shida iliyo mkumba kunamtelemko mkali kiasi kwamba ukivutwa pembeni kama ulibonyeza kidogo lazima uende nje...
Mim ningeshauri kwasababu imebainika wanavyeti fake watolewa ila huku nyuma walipiga kazi na wakakatwa pesa zao hivyo walipwe haki zao waondoke la sivyo huo niuonevyo mkubwa nnssf ya mtu nijasho lake alipwe na kiinua mgongo chake kisha aingie kitaa akapambane
Okay sasa mkuu nilazima kukubali kwamba biashara inarun kwa hasara hivyo either karibu kuuza kama share umiliki kiasi ili uweze kupata fedha yakuongeza mtaji wako kwasababu haitskiwi mapato yawe constant ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.