Kwa wale mnaoamini ajali ya bus la Lucky Vincent imesababishwa na uzembe wa watu

Kivipi barabara iwe chanzo cha ajali Mkuu? Ni barabara au uchochoro tu wakaforce kupita?
Nimeziona picha na nimesoma maelezo mengi humu ndani. Barabara kuwa chanzo ni endapo mteremko huo, kona na darajani hakuna kingo (Guard Rails) imara kunusuru gari kutumbukia korongoni. Example ni mlima Kitonga-Iringa.
 
Nimeziona picha na nimesoma maelezo mengi humu ndani. Barabara kuwa chanzo ni endapo mteremko huo, kona na darajani hakuna kingo (Guard Rails) imara kunusuru gari kutumbukia korongoni. Example ni mlima Kitonga-Iringa.
Na mimi nilikuuliza makusudi tu, nilitaka uniambie kuwa walipita barabarani, kwa dereva aliyefunzwa , barabara inazungumza nae juu ya yeye aliendesheje gari lake kwa eneo husika, kaka hulijui hilo? Kama kulikuwa na mtelemko na korongo, mita kadhaa nyuma barabara ilishamwambia, ugeni wa barabara si kings tena ndio sababu ya kuwa makini, nadhani umenielewa.

Hata kulijua gari lako ni sehemu ya majukumu ya muhimu ya dereva, daily checkups.
 
Nimeziona picha na nimesoma maelezo mengi humu ndani. Barabara kuwa chanzo ni endapo mteremko huo, kona na darajani hakuna kingo (Guard Rails) imara kunusuru gari kutumbukia korongoni. Example ni mlima Kitonga-Iringa.
Kwa wasio jua Hilo eneo unaweza fikiri niuzembe ila liko namlima unaohitaji adabu kubwa sana sasa yawezekana kwa ugeni wadereva ndio yo shida iliyo mkumba kunamtelemko mkali kiasi kwamba ukivutwa pembeni kama ulibonyeza kidogo lazima uende nje...
 
Kwa wasio jua Hilo eneo unaweza fikiri niuzembe ila liko namlima unaohitaji adabu kubwa sana sasa yawezekana kwa ugeni wadereva ndio yo shida iliyo mkumba kunamtelemko mkali kiasi kwamba ukivutwa pembeni kama ulibonyeza kidogo lazima uende nje...
Kwa hiyo ni dhahiri barabara haina kingo.
 
Tuambie in uzembe wa nani?
1 Dreva
2 Serikali
3 Waalimu
4 Wazazi?.

Ila kumbuka ajali haina kinga.
Huu msemo ulishapitwa na wakati, ajali zote zina kinga. Siku hizi dunia inaangaikia majanga ya asili, acts of God, sio ajali tena. Hatufuati sheria wala kanuni, halafu tunasingizia ajali haina kinga, za wapi hizi.
 
NO ONE CAN PREVENT ACCIDENT...THAT IS WHY WE CALL IT AN ACCIDENT.......WAS THERE ANY PERSON BELIEVED TO HAVE PLANNED THIS TRAGEDY??....THE ANSWER IS NO.

JUST AN ACCIDENT !!
MWANGAZA WA MILELE UWAANGAZIE E BWANA
 
Kwa wasio jua Hilo eneo unaweza fikiri niuzembe ila liko namlima unaohitaji adabu kubwa sana sasa yawezekana kwa ugeni wadereva ndio yo shida iliyo mkumba kunamtelemko mkali kiasi kwamba ukivutwa pembeni kama ulibonyeza kidogo lazima uende nje...
Ni barabara au uchochoro wa kupitishia ng'ombe yeye amefosi tu kupita? Hata kama ni barabara haikuweka alama, uzembe ni wa mamlaka husika. Hakuna ajali isiyo na uzembe kama haihusishi janga la asili.
 
Huu msemo ulishapitwa na wakati, ajali zote zina kinga. Siku hizi dunia inaangaikia majanga ya asili, acts of God, sio ajali tena. Hatufuati sheria wala kanuni, halafu tunasingizia ajali haina kinga, za wapi hizi.
Haujapitwa na wakati,unaweza ukajifanya wewe unaendesha kwa umakiinii akaja mzembe mmoja akakugonga na akakutoa roho,ajali humkuta hata mwenye tahadhari.
 
Haujapitwa na wakati,unaweza ukajifanya wewe unaendesha kwa umakiinii akaja mzembe mmoja akakugonga na akakutoa roho,ajali humkuta hata mwenye tahadhari.
Hikuliacha neno uzembe hapo, cha msingi kujua kama sote tutakuwa makini, tukizifuata sheria na kanuni zote za barabarani, na kanuni za kulitunza na kuliendesha gari, ni act of God tu itakayoleta mauaji.
 
Hikuliacha neno uzembe hapo, cha msingi kujua kama sote tutakuwa makini, tukizifuata sheria na kanuni zote za barabarani, na kanuni za kulitunza na kuliendesha gari, ni act of God tu itakayoleta mauaji.
Hapa nakuongelea wewe hapo unaesema ajali haina kinga imepotwa na wakati,Kinga yako i wapi sasa kwenye situation kama hiyo?

Its impossible kwa madereva wote kua makini barabarani,ndio maana ukienda kufundishwa udereva unaambiwa ukiwa unaendesha gari yako,"uendeshe" na ya dereva mwenzio.

Kwanza magari yanaendeshwa na watu.Human error kila sehemu mkuu.Hata hayo magari yaliyokua programmed kujiendesha yanapata ajali pia.
 
Hapa nakuongelea wewe hapo unaesema ajali haina kinga imepotwa na wakati,Kinga yako i wapi sasa kwenye situation kama hiyo?

Its impossible kwa madereva wote kua makini barabarani,ndio maana ukienda kufundishwa udereva unaambiwa ukiwa unaendesha gari yako,"uendeshe" na ya dereva mwenzio.

Kwanza magari yanaendeshwa na watu.Human error kila sehemu mkuu.Hata hayo magari yaliyokua programmed kujiendesha yanapata ajali pia.
Kinga yangu ni watu wote tufuate sheria na kanuni za barabarani na uendeshaji.
 
Back
Top Bottom