Mimi ni mwajiri lakini nimekuwa kama mtumwa kwa wajiriwa

Tafuta biashara nyingine nje ya hiyo... Kwenye hiyo Coy. badilisha baadhi ya vitu ili uende sawa na hali ya uchumi
 
Katika njia za kuwezesha biashara kama yako iendelee kuwepo,huwa gharama za uendeshaji kaz zinapunguzwa kwa level ambayo unaweza pata profit walau kidogo na biashara iendelee;
Utaangalia zile gharama ambazo zikipinguzwa au kuondolewa kabiisa kama itabidi hazitaathiri kwa kiwango kikubwa utekelezaji wa shughuli za kila siku,wengi huanza na kupunguza matumizi kwenye refreshments kama chai ,kahawa,maji nk pia kukata matumizi ya mafuta ya magari;
Huendelea zaidi kwenye kupunguza wafanyakaz ambao hata wasipokuwepo kazi zao anaweza kufanya mtu mwingine aliyopo au atakayebaki..
Lkn kama kampuni haitaweza kubreak even wachilia mbali profit,funga hiyo kampuni
 
Kabla ya kuwafukuza wafanyakazi,
mimi nakushauri uitishe kikao na wafanyakzi wako kisha uwaeleze kwamba kampuni imepata hasara kwamaana hiyo watu watapunguziwa mshahara wa asilimia kadhaa,
then baada ya hapo unatoa option kwa ambaye hayupo tayari kukubaliana na jambo hilo basi aandike barua ya kuacha kazi kabla ya tarehe fulani, kisha unakuwa umeshamaliza mchezo.
Mwezi unaofuata unaanza kuwakata mishahara kwa asilimia mlizopanga, kisha unaangalia kampuni inavyokwenda,
kama mambo yatakuwa ni yaleyale basi hapo ruksa kupunguza wafanyakazi
 
Wakuu wengi mmeshauri nipunguxe wafanyakazi fine lakin hilo nililiona mda button it's a professional business ambayo kitengo laxima kiwe na mtu by profession so ikifika hapo iyo sehem inaitaji that person
 
Hali imekuwa ngumu, jana precision air wameondoka Arusha na abiria kumi na mbili tu, watu wamerudi kwenye mabasi.
 
Wakuu wengi mmeshauri nipunguxe wafanyakazi fine lakin hilo nililiona mda button it's a professional business ambayo kitengo laxima kiwe na mtu by profession so ikifika hapo iyo sehem inaitaji that person
Sijui ni biashara gani unafanya lakini kama huwezi kupunguza wafanyakazi basi ongeza price ya services zako ili uongeze faida.
 
Tafuta wafanyakazi wote ambao ni ccm. Piga chini wakaisome namba huko mtaani.
Wao ndio chanzo cha haya yote
 
Badilisha system hakikisha hakuna loopholes za ulaji, cut unnecessary costs, punguza wafanyakazi na pendelea kufanya sehemu kubwa mwenyewe ili mshahara wa huyo aliepaswa kufsnya hivyo unachukua, pia tafuta consultant akuwekee system nzuri, ninaweza nikamrecomend consultant mmoja aliyeinua biashara nyingi na kusaidia watu kama wewe wainuke kwa uzoefu wake wa over 30yrs in BM. Mcheck hapa 0712282224
 
Simple solution ni kupunguza wafanyakazi, na hili unatakiwa uliweke wazi! wasipojitahidi itayofuatia itakuwa zamu yao kupunguzwa
 
Ushauri Wangu itakikao cha zarura keti kitako na wafanyakazi kama wote nimuhimu punguza mishahara yao wote kisha angalia unabaki nakiasi gani mkonon ila umesema you earn about 30m sasa kama mishahara na kodi inakwenda 17m hiyo 13m inaenda WAP...cheza na mahesabu vizuri others ajiri mtaalamu wa biashara wew baki msimamizi usijihusishe na mambo ya fedha nawew upokee tu mshara utaona faida sana
 
Kama mikataba ya wafanyakazi wa kampuni yako imekaribia kuisha usiowaongezee mikataba mingine , waache waende then tangaza nafasi za kazi waje wapya ushushe mishahara kulingana na kipato cha kampuni nadhan hapo at least utapata ahueni
 
Ushauri Wangu itakikao cha zarura keti kitako na wafanyakazi kama wote nimuhimu punguza mishahara yao wote kisha angalia unabaki nakiasi gani mkonon ila umesema you earn about 30m sasa kama mishahara na kodi inakwenda 17m hiyo 13m inaenda WAP...cheza na mahesabu vizuri others ajiri mtaalamu wa biashara wew baki msimamizi usijihusishe na mambo ya fedha nawew upokee tu mshara utaona faida sana
13m less 3m rent advert is 5m monthly baada ya kupinguza kuna other running cost pia
 
Pia jilipe mshahara na uishi kwa mshahara wako tu na kampuni ijitegemee
 
13m less 3m rent advert is 5m monthly baada ya kupinguza kuna other running cost pia
Okay sasa mkuu nilazima kukubali kwamba biashara inarun kwa hasara hivyo either karibu kuuza kama share umiliki kiasi ili uweze kupata fedha yakuongeza mtaji wako kwasababu haitskiwi mapato yawe constant ...
 
Watu wengi wanafikiri kupunguza wafanyakazi ni jambo rahisi ila siyo rahisi hasa ukizingatia wengine umeanza nao mwanzo wa kampuni, na bado bila wao kampuni haiwezi kufanya mauzo.
 
Note 6m ni kodi kwa mwezi ili Kuwa nikapunguza eneo saiv ni 3m kwa mwezi na mshara ni ni natumia 14m kwa mwezi yani mimi sina hata mshahara
kuwafanyia watu kazi nayo ni njia ya kufikia mafanikio...
 
Nina kampuni Dar nina wafanyakazi 20 mbao mishahara yao ni kati lak2 na 1.5m.. nilianza 2010 hadi Leo. Ila nina hali mbaya ya uchumi kulingana na ninachokipata lakini mpaka sasa sidaiwi na mfanyakazi yeyote mshara wa mwezi wa 3 wala kodi ya pango nalikuwa nikilipa 6m kwa mwezi Ila kwa sasa nalipa 3m. Ila nishara hiyo na kodi nalipa kwa imani ya mungu.

My point for last 4 years tangu 13,14,15,16,17 ninaishi maisha ya shida yani ninachopata mimi ikizidi Ni hela ya mafuta ya gari na hela ya kula basi au ninywe bia 3 Mara1 kwa wiki .

Kitu ambacho mimi kinanifanya kuona kwamba naishi kwa ajili ya hao wanaonitegemea kumbuka yeye mpaka alipwe mshara wake na rent ilipwe na garama zingine xa serikali na other running cost.

Mwezi makusanyo napata kama 30m lakin cpati chochote wala my family kuenjoy Kuwa baba ana ofc imefikia sehem hata ile kumpa mtu business kadi ilioandikwa director naona aibu naishi bila matumaini ya Kesho naishi ili mfanyakazi aishi.

Ila miaka 3ya mwanzo hali haikuwa mbaya nilichokuwa napata nikawa naimarisha ofc..

Nikisema nifunge ofc wafanyakazi wanikumpatia boss please tusubir huwez kuja ya Kesho Ila akija kudai mshara ndio utamjua na wenye jengo nao hawana maongexi maana ni shirika

Naongea kwa masikitiko maakubwa sana na sina saving yeyote ile ya kuanxisha kampuni nyingine au biashara yeyote ile Ila nafahamu biashara nyingi mpaka sasa...

Naomba ushauri ndugu zangu

Ndugu inaonekana kwa haraka haraka baadhi ya very important skills in buzness zimekupitia kando..!!
Take time to learn both theoretically and practically...!!

Find a mentor to lead you, ambaye yuko already in a successfully running buziness., Never try to consult business advisers, they will lead you to hell..!! Ndo kama unavyofanya hapa kuomba ushauri kwenye kundi ambalo kati ya 100, 99 ni employees na mmoja tu ndo employer,,

Kessi ya mbwa unamletea paka kweli ?? ina maana umekosa wanaoweza kukufunda kibiashara hadi umekuja huku pamoja na uboss ulionao??

Acha kuzurura nenda sehem sahihi wakakupe msaada bhn,, Ni nadra sana kumkuta mtu mwenye mafanikio makubwa kibiashara humu,,, Ushawahi kuona Boss Yuko buzy kuchart?? Au anafatilia mijadala ya Gossiping Like here ?? Tena umepost kabisaa jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko??

Mara nyingi huku tuko sie kina fulani,, wasakatonge,, tunapiga xana domo kwa yanayotushinda hata kuyajaribu tu,, Ukimkuta a true b.man humu ndani jua yuko kibiashara zaidi sio kwa kessi kama yako..!!!

STOP KIDDING BIG BOY.!!

Kwa maoni yangu wew sio mfanyabiashara..!! We mpita njia tu..!! kama kwei wew ni serious B. Person next time njoo uuze bidhaa kwa kuwa huku ni Sokoni kaka... Ushauri una mahali pake.!!
 
Back
Top Bottom