ni kufananisha usingizi na kifo,vitu viwili tofauti..wakati ccm wanafikiria jinsi ya kumvua gamba,yeye alishafahamu hilo haliwezekani na alishaanza kampeni za kuelekea ikulu..juzi alikuwa kkkt usharika wa mwenge kwaajili ya kuchangia ujenzi wa kanisa,anachukua credits tu