Mabomu mabomu yanapigwa muda huu huku Ifakara Mgombea wa CCM kakimbia kakataa kusign vijana wa CDM nao mamekomaa wanalinda kura hawataki kutoka police wanapiga mabomu wawatoe matokeo hayajatangazwa
Leo kulikuwa na tamasha la muziki wa injilili Singida, waimbaji kama Rose Mhando, Hahati Bukuku, Ambwene walialikwa lakini baada ya ufunguzi muandaaji wa tamasha hilo Prosper aliwatambulisha waimbaji waliofika waudhuriaji wakapaza sauti zao Rose yuko wapi?
Ndipo mratibu alipoamua kufunguka kuwa...
Duh wewew pasco ni mnafiki kweli juzi umesema mwenyewe kuwa ben saanane ni mwamba na katika mwamba Chadema itajengwa leo tena unamkandia wewe kweli una kazi maalum humu jf huwa unapima upepo hata kama si mwanasiasa lakini ukiwa muongo jitahidi kuwa na kumbukumbu kimsingi mimi huwa nakupuuza.wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.