Kimsingi jamaa yupo vizuri kwa mtazamo wake na vipaumbele vya ilani ya chama chake, Ila kutokana na malighafi nyingi tulizonazo inatakiwa tupate kiongozi atakae fumua mfumo w elimu iliyopo kwa sasa ambayo si rafiki Sana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja.
Tukifanikiwa kutoa elimu itakayomfanya...
Mabinti wawili tajwa hapo juu walikuwa wanaishi kijijini Ila wakatamani kuishi mjini! Waliondoka nyumbani kwa kutoroka kwakuwa wazazi wao hawakuridhia, maisha ya mjini yalikuwa yatabu Sana kwao baada ya mda wakapata walichokipata najua kinajulikana!
Hivyo basi naomba kuwasilisha!
Tatizo waafrika ni waoga Sana na haya mapokeo,kiukweli hakuna madhara! Ebu fikiria maswali haya:
Je, waliokufa kw ukimwi hawakutahiriwa?
Je, waliokufa kwa kansa hawakutahiriwa?
Je,waliotahiriwa wanaishi milele!
Kiukweli swali lako upo sahihi Ila usiwe na wasiwasi kwani huo mda wa mwaka mmoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.