Recent content by Elimu bure

  1. Elimu bure

    Mbeya long time kitambo

    Watu wa Mbeya,tunawasubiri kwenye urais tuone ubabe wenu,sijui Kama watu hawatakuwa wanalala saa kumi na mbili jioni!
  2. Elimu bure

    Viashiria vya kuwa na IQ ndogo

    Kila mtu ana akili,upimaji ni ujinga tu!
  3. Elimu bure

    Maendeleo ya watu au vitu?

    Kimsingi jamaa yupo vizuri kwa mtazamo wake na vipaumbele vya ilani ya chama chake, Ila kutokana na malighafi nyingi tulizonazo inatakiwa tupate kiongozi atakae fumua mfumo w elimu iliyopo kwa sasa ambayo si rafiki Sana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja. Tukifanikiwa kutoa elimu itakayomfanya...
  4. Elimu bure

    Nani ashawahi kukisoma hiki kitabu cha picha za kiswahili kinaitwa HATIA? Tukumbushane

    Mabinti wawili tajwa hapo juu walikuwa wanaishi kijijini Ila wakatamani kuishi mjini! Waliondoka nyumbani kwa kutoroka kwakuwa wazazi wao hawakuridhia, maisha ya mjini yalikuwa yatabu Sana kwao baada ya mda wakapata walichokipata najua kinajulikana! Hivyo basi naomba kuwasilisha!
  5. Elimu bure

    Jaribu kudate na huyu...

    Wanyakyusa wote wamebarikiwa kwa staili hii maana majina yao ya ukoo yanaanza na 'm' Mwambungu,Mwamalefya,Mwakyembe ,Mwamnyange!
  6. Elimu bure

    Nimeku "miss" kwa kiswahili

    Nimekuhamu
  7. Elimu bure

    Fahamu virefu vya baadhi ya maneno yaliyofupishwa

    Naomba kirefu Cha FBI
  8. Elimu bure

    Nahisi mpenzi wangu ana govi

    Tatizo waafrika ni waoga Sana na haya mapokeo,kiukweli hakuna madhara! Ebu fikiria maswali haya: Je, waliokufa kw ukimwi hawakutahiriwa? Je, waliokufa kwa kansa hawakutahiriwa? Je,waliotahiriwa wanaishi milele! Kiukweli swali lako upo sahihi Ila usiwe na wasiwasi kwani huo mda wa mwaka mmoja...
  9. Elimu bure

    Haya ndio Madhara makubwa kuliko yote ya punyeto

    Usinifokee! Kupanga ni kuchagua!
  10. Elimu bure

    Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Sekta ya Elimu haijapata fursa ya kujadili changamoto zao au imetengwa?

    Walishaongea na makonda,ndio maana wakaanza kupnda bure magari huko Dar es salaam. Nahisi walituwakilisha sisi wamikoani!
  11. Elimu bure

    Which is your most favorate saying? Ni upi msemo wako pendwa?

    Upendo ni upande mwingine wa chuki!
  12. Elimu bure

    Swali kwa Wanawake wa kileo: Nini kilichowatoa majumbani na kuanza kuingia mitaani na maofisini kutafuta hela?

    Uchumi wa viwanda Kila ubunifu unatakiwa, wanawake pigeni kazi mpaka kieleweke!
  13. Elimu bure

    Kipi kitangulie, heshima au upendo?

    Wape pesa wanyamaze!
Back
Top Bottom