Nchi hii ni nzuri mno,
lkn vilaza wanaoushikilia umimi na
utoto wa fulani, ndio wanaoivuruga nchi.
Kwa maana nyingine kananda Ziro amekosa ushahidi.
Viva CHADEMA YETU 2020
Mimi nadhani ndo wanamuinua Mbowe kuwa shujaa zaidi.
Mfano Godbless Lema anavyochafuliwa na serikali ya kijani njano
Ndivyo wanavyomjengea jina kubwa kule Arusha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.