Bavicha mpaka mnyooke...
Na hauko mbali kikombe kinakaribia kujaaUkifika wakati wenu msije kulia tu
Na hauko mbali kikombe kinakaribia kujaa
3 bila stay tuned
Wakati mwingine mtumie akili zenu vizuri CHADEMA si chama cha Mbowe ila Mbowe ni mwanachama wa CHADEMA vhama kidihusishwe na kosa binafsi la mtu, aliambiwa aende ajisalimishe Polisi akagoma then mnatetea, hivi watanzania mnstaka nini?
Wakati UPI?Ukifika wakati wenu msije kulia tu
Akitoka mafichoni itajulikana.lakini mpaka sasa baada ya kuzima simu na kujificha ,amekiri kosa
usipanic mkuu andika vizuri uelewekeHujui kitu mkuu wewe ni shabiki tuu!! Na mbeambea , hebu fuatilia taarifa vyema kwa pamde zote then tumia akili yako ndogo hiyohiyo ku balance mzani kwanza na pia tafuta ujue tafsiri halisi ya kujificha halafu uje utuamni kama mbnowe alitimiza vigezo vya kujificha huko ,inaonekana shule nalo ni tatizo kwako sio!!