Recent content by eligiuspetro

  1. E

    DOKEZO Niliyoyaona leo Ziwa Victoria muda si mrefu yatajirudia ya MV Bukoba au MV Spice Islanders

    Ingekua hivyo yasingewekwa kwenye hivyo vyombo vya majini, ukiwa na boya huzami.
  2. E

    DOKEZO Niliyoyaona leo Ziwa Victoria muda si mrefu yatajirudia ya MV Bukoba au MV Spice Islanders

    Boya linaelea, ukiwa na boya huwezi kuzama, hao jamaa ni waongo, labda kama kuna viumbe hatari kwenye hilo eneo
  3. E

    SoC03 Responded Kitambulisho cha Taifa kiboreshwe ili kuendana na ulimwengu wa kidigitali

    Itasaidia sana, japokua inahitajika nguvu ya ziada kwenye kulipitisha hili.
  4. E

    Baba ahukumiwa miaka 40 jela kwa kuzaa na binti yake

    Wapime na DNA ya mwanamke wajue kama ni baba yake kweli usikute ulipakaziwa
  5. E

    Kaeni Mguu Pande, Zama za Utawala wa Mwanamke Duniani unakuja

    Ingekua walau wanajeshi wanawake wanaenda kwenye uwanja wa vita walau ningepata wasiwasi
  6. E

    Wanaume Mungu anatuona

    Wanaume wapo wanapambana kazini huko kutafuta pesa
  7. E

    Hivi hizi R na L zimetukosea nini?

    Inakera sana
  8. E

    SoC02 Mtazamo usio na tija, maumivu yake ni majuto

    Raia wanakatishaga sana tama asee
Back
Top Bottom