Mkataba wa Bandari, Wabunge wasema waliburuzwa

Bila ya mtiririko maalum...

Baada ya kifo cha Hayati yalitokea maharamia yaliyomjaza SSH uongo kwa hila tena kwa kumkosoa kwa ukali kuhusu watu waliomzunguka. Huko kulimpeleka awe anapanga na kupangua na hatimaye kujitenga au kutenganishwa na vigogo wengine kwenye chama chake. Na uhakika hili ndilo lililompeleka kutafuta bakuli la Uchaguzi kwa njia anayejua yeye au lah

Mimi nafananisha(kuh:Bakuli) na yale ya Benjamin Mkapa(R.I.P) na $100m
Matokeo yake ni Historia sasa. Kwa kifupi SSH ndiye aliyeburuzwa kufikia maamuzi aliyofikia kwa kutumia kofia zake, kwanza ya Chama. na Pili Amiri Jeshi Mkuu.

Haijalishi....

Ni dhahiri sasa wale waliotengwa ndio walikuwa wanamshauri vizuri na wala sio vinginevyo. Wamezira kwa kuwa hawakusikilizwa? au kwa sababu wameburuzwa? Unafanyaje?



Hatahivyo Mlifikiria SSH akimbilie wapi kama sio kwa nduguze? BAMS na wenzake?

nafikiri hata wale walio ndani ya CCM bado wanashangazwa na hili, na wale waliojenga Uhasama bandia(Kina BAMS) ...ila basi Mama anaupiga mwingi, kawazidi kete waliomlaghah (kina BAMS)wakati wao ndio waliotegemea wapewe ushawishi na nyeti zingine
... wamekosa!

Mmetukusesha Watanzania nanyi mmekosa.

Aliyeburuzwa kwenye hili suala ni SSH na sisemi hivyo kumtetea, kwani bado naona angeweza kugawa Rasilimali za CCM badala ya za Umma.
 
Hili limenishangaza, kunishtua na kukatisha tamaa kabisa.

Nilikuwa na mazungumzo na wabunge wawili, mmoja ni mwanasheria, tena mzuri sana kwenye mambo ya corporate, akiwa amesoma miongoni mwa vyuo vikubwa na bora kabisa Duniani. Na mwingine alikuwa Naibu Waziri, kwa sasa yupo nje ya Baraza.

Hoja kubwa ilikuwa mjadala wa bandari, majibu yao, mmoja alisema hivi:

"hivi bwana ..........., unaamini, mimi na akili yangu, naweza kuunga mkono mkataba kama ule? Watu wanasema tu huko nje, hawajui kilichopo huku ndani. Ukiwa huku, unakuwa ni kama mtumwa. Tumeitwa kwenye kikao cha chama, tena tukaambiwa ni maelekezo. Bungeni pale kuna wachache, tena wale watu wao waliowekwa sawa, ndio waliokuwa wanaongea. Nakuhakikishia, wote ambao hatukuongea, kila mmoja alikuwa hataki, lakini kwa salama yako, unaamua kukaa kimya. Hawa watu wamejipanga hasa, na kila siku wanaoonekana ni kisiki mahali popote, wanaondolewa".

Mwingine aliyewahi kuwa naibu waziri, akasema:

"Wengine tumeondolewa, kwa sababu ya kuhisiwa tu kuwa tunaweza tusiunge mkono kila kitu. Tukawekwa pembeni. Na hapa, kwa hawa watu, si ajabu sisi wengine mwaka 2025, tukaondolewa kabisa hata kwenye ubunge. Na wakiwa wenyewe kabisa, itakuwa mbaya zaidi, maana hatutajua kabisa wanayopanga, hata wanayofanya. Kwa hiyo kwa namna fulani, ni afadhali hata ubakie kinafikinafiki, angalao tufahamu wanachofanya. Shida pia, ni wananchi wetu. Sisi tunapozitoa taarifa hizi, kuvujisha siri, tunatarajia wananchi waamke, lakini wananchi nao inakuwa kimya. Sasa ukiwa kimbelembele, upo pekee yako, nyuma yako hakuna watu, utafika wapi? Kwa kweli tumekwisha. Sasa hivi kila mahali wanapachikwa watu wao ili wapitishe haya. Na hao waarabu wanazidi kumiminika, wanapewa kila kitu, ukitazama mikataba yao, inatisha"

Walisema mengi, mpaka nashindwa kuelewa hii nchi kama hali ni hii, mwanga uko wapi?

Wananchi wanataka wabunge wafanye kitu kwa maslahi ya nchi na umma, wabunge nao wanatarajia wananchi ndio wafanye kitu kuiondoa nchi kwenye mkwamo, nao wananchi hawafanyi chochote. Na kama hali ni hiyo, sasa bunge ni la kazi gani?

Jamani, tupambane tupate katiba mpya lakini katiba yenyewe nayo tutaipataje wakati sisi sote ni waoga? Hata ikipatikana katiba mpya, wakiamua kutokuifuata, na watu tukawa waoga kuwawajibisha viongozi wanaoikiuka, itakuwa na msaada mkubwa? Uoga wetu, umekuwa mtaji mkubwa kwa watawala wenye dhamira mbaya ya kujineemesha wao na jamaa zao.
Ninaamini wanachosema hao wabunge.

Ni vigumu sana kuwalaumu, lakini haiepukwi kuwalaumu.

CCM imekuwa na mambo ya aina hii kwa muda kitambo sasa, siyo mambo mapya. Imekuwa kama ni utamaduni kwao, na ndiyo maana chama kimeondoka kabisa katika misingi yake imara. Kwa sababu sasa ni chama kinachoendeshwa na mafisadi.
 
Bila ushahidi hayo ni maneno tu ambayo mtu yeyote anaweza kuyaandika humu.
Utakuwa huna uwezo wa kubaini chochote kama huwezi kuona jinsi Bunge linavyofanya kazi na kuelewa kinachoendelea huko.

Huwa unafuatilia shughuli za bunge?
 
Utakuwa huna uwezo wa kubaini chochote kama huwezi kuona jinsi Bunge linavyofanya kazi na kuelewa kinachoendelea huko.

Huwa unafuatilia shughuli za bunge?
Nafuatulia sana na hakuna sehemu ambapo wabunge waliburuzwa
 
Nafuatulia sana na hakuna sehemu ambapo wabunge waliburuzwa
Basi hujui maana ya kufuatilia na kuona kinachoendelea.
Ndiyo maana huna 'objectivity' kabisa katika maandishi yako, kwa sababu ulishajivisha joho la kutoona mwanga nje ya joho hilo hata katika mambo yaliyo wazi.
 
Hili limenishangaza, kunishtua na kukatisha tamaa kabisa.

Nilikuwa na mazungumzo na wabunge wawili, mmoja ni mwanasheria, tena mzuri sana kwenye mambo ya corporate, akiwa amesoma miongoni mwa vyuo vikubwa na bora kabisa Duniani. Na mwingine alikuwa Naibu Waziri, kwa sasa yupo nje ya Baraza.

Hoja kubwa ilikuwa mjadala wa bandari, majibu yao, mmoja alisema hivi:

"hivi bwana ..........., unaamini, mimi na akili yangu, naweza kuunga mkono mkataba kama ule? Watu wanasema tu huko nje, hawajui kilichopo huku ndani. Ukiwa huku, unakuwa ni kama mtumwa. Tumeitwa kwenye kikao cha chama, tena tukaambiwa ni maelekezo. Bungeni pale kuna wachache, tena wale watu wao waliowekwa sawa, ndio waliokuwa wanaongea. Nakuhakikishia, wote ambao hatukuongea, kila mmoja alikuwa hataki, lakini kwa salama yako, unaamua kukaa kimya. Hawa watu wamejipanga hasa, na kila siku wanaoonekana ni kisiki mahali popote, wanaondolewa".

Mwingine aliyewahi kuwa naibu waziri, akasema:

"Wengine tumeondolewa, kwa sababu ya kuhisiwa tu kuwa tunaweza tusiunge mkono kila kitu. Tukawekwa pembeni. Na hapa, kwa hawa watu, si ajabu sisi wengine mwaka 2025, tukaondolewa kabisa hata kwenye ubunge. Na wakiwa wenyewe kabisa, itakuwa mbaya zaidi, maana hatutajua kabisa wanayopanga, hata wanayofanya. Kwa hiyo kwa namna fulani, ni afadhali hata ubakie kinafikinafiki, angalao tufahamu wanachofanya. Shida pia, ni wananchi wetu. Sisi tunapozitoa taarifa hizi, kuvujisha siri, tunatarajia wananchi waamke, lakini wananchi nao inakuwa kimya. Sasa ukiwa kimbelembele, upo pekee yako, nyuma yako hakuna watu, utafika wapi? Kwa kweli tumekwisha. Sasa hivi kila mahali wanapachikwa watu wao ili wapitishe haya. Na hao waarabu wanazidi kumiminika, wanapewa kila kitu, ukitazama mikataba yao, inatisha"

Walisema mengi, mpaka nashindwa kuelewa hii nchi kama hali ni hii, mwanga uko wapi?

Wananchi wanataka wabunge wafanye kitu kwa maslahi ya nchi na umma, wabunge nao wanatarajia wananchi ndio wafanye kitu kuiondoa nchi kwenye mkwamo, nao wananchi hawafanyi chochote. Na kama hali ni hiyo, sasa bunge ni la kazi gani?

Jamani, tupambane tupate katiba mpya lakini katiba yenyewe nayo tutaipataje wakati sisi sote ni waoga? Hata ikipatikana katiba mpya, wakiamua kutokuifuata, na watu tukawa waoga kuwawajibisha viongozi wanaoikiuka, itakuwa na msaada mkubwa? Uoga wetu, umekuwa mtaji mkubwa kwa watawala wenye dhamira mbaya ya kujineemesha wao na jamaa zao.

WABUNGE HII ZABURI INAWAHUSU:
ZABURI 106:39
Ndivyo walivyotiwa uchafu kwa kazi zao, Wakafanya uasherati kwa matendo yao
.
 
Umaskini,Ubinafsi,Choyo,Kupenda madaraka ni Kansa inayosumbua wengi ktk taifa..Elimu ya Uzalendo,Uadirifu,Kujiamini na Umakini inahitajika sana ili kukomboa mataifa yetu..

Kwa mfumo wa uendeshaji wa DP World watahodhi njia kuu zote Za biashara..Mark my words

Wataanzisha kila aina ya biashara ktk mnyororo wa Shipping,Logistics,Supply chain..Customs Clearance,Port Handling,Tranport,Warehousing,Distribution,Delivery etc..

Makampuni na biashara nyingi Zitta kufa/yatakufa natural death..kiu yao kubwa ni kupata super profits..refer their operations elsewhere..Watafanya kila biashara watayoona inafaa..Wataanzisha maduka,watalima n.k lengo sio kuendeleza Tanzania Bali kupata faida..Ikumbikwe watakuwa na exemption ktk ulipaji kodi..Nani ataweza kushindana na asielipa kodi?
 
Hili limenishangaza, kunishtua na kukatisha tamaa kabisa.

Nilikuwa na mazungumzo na wabunge wawili, mmoja ni mwanasheria, tena mzuri sana kwenye mambo ya corporate, akiwa amesoma miongoni mwa vyuo vikubwa na bora kabisa Duniani. Na mwingine alikuwa Naibu Waziri, kwa sasa yupo nje ya Baraza.

Hoja kubwa ilikuwa mjadala wa bandari, majibu yao, mmoja alisema hivi:

"hivi bwana ..........., unaamini, mimi na akili yangu, naweza kuunga mkono mkataba kama ule? Watu wanasema tu huko nje, hawajui kilichopo huku ndani. Ukiwa huku, unakuwa ni kama mtumwa. Tumeitwa kwenye kikao cha chama, tena tukaambiwa ni maelekezo. Bungeni pale kuna wachache, tena wale watu wao waliowekwa sawa, ndio waliokuwa wanaongea. Nakuhakikishia, wote ambao hatukuongea, kila mmoja alikuwa hataki, lakini kwa salama yako, unaamua kukaa kimya. Hawa watu wamejipanga hasa, na kila siku wanaoonekana ni kisiki mahali popote, wanaondolewa".

Mwingine aliyewahi kuwa naibu waziri, akasema:

"Wengine tumeondolewa, kwa sababu ya kuhisiwa tu kuwa tunaweza tusiunge mkono kila kitu. Tukawekwa pembeni. Na hapa, kwa hawa watu, si ajabu sisi wengine mwaka 2025, tukaondolewa kabisa hata kwenye ubunge. Na wakiwa wenyewe kabisa, itakuwa mbaya zaidi, maana hatutajua kabisa wanayopanga, hata wanayofanya. Kwa hiyo kwa namna fulani, ni afadhali hata ubakie kinafikinafiki, angalao tufahamu wanachofanya. Shida pia, ni wananchi wetu. Sisi tunapozitoa taarifa hizi, kuvujisha siri, tunatarajia wananchi waamke, lakini wananchi nao inakuwa kimya. Sasa ukiwa kimbelembele, upo pekee yako, nyuma yako hakuna watu, utafika wapi? Kwa kweli tumekwisha. Sasa hivi kila mahali wanapachikwa watu wao ili wapitishe haya. Na hao waarabu wanazidi kumiminika, wanapewa kila kitu, ukitazama mikataba yao, inatisha"

Walisema mengi, mpaka nashindwa kuelewa hii nchi kama hali ni hii, mwanga uko wapi?

Wananchi wanataka wabunge wafanye kitu kwa maslahi ya nchi na umma, wabunge nao wanatarajia wananchi ndio wafanye kitu kuiondoa nchi kwenye mkwamo, nao wananchi hawafanyi chochote. Na kama hali ni hiyo, sasa bunge ni la kazi gani?

Jamani, tupambane tupate katiba mpya lakini katiba yenyewe nayo tutaipataje wakati sisi sote ni waoga? Hata ikipatikana katiba mpya, wakiamua kutokuifuata, na watu tukawa waoga kuwawajibisha viongozi wanaoikiuka, itakuwa na msaada mkubwa? Uoga wetu, umekuwa mtaji mkubwa kwa watawala wenye dhamira mbaya ya kujineemesha wao na jamaa zao.
Asee!
 
Bila ya mtiririko maalum...

Baada ya kifo cha Hayati yalitokea maharamia yaliyomjaza SSH uongo kwa hila tena kwa kumkosoa kwa ukali kuhusu watu waliomzunguka. Huko kulimpeleka awe anapanga na kupangua na hatimaye kujitenga au kutenganishwa na vigogo wengine kwenye chama chake. Na uhakika hili ndilo lililompeleka kutafuta bakuli la Uchaguzi kwa njia anayejua yeye au lah

Mimi nafananisha(kuh:Bakuli) na yale ya Benjamin Mkapa(R.I.P) na $100m
Matokeo yake ni Historia sasa. Kwa kifupi SSH ndiye aliyeburuzwa kufikia maamuzi aliyofikia kwa kutumia kofia zake, kwanza ya Chama. na Pili Amiri Jeshi Mkuu.

Haijalishi....

Ni dhahiri sasa wale waliotengwa ndio walikuwa wanamshauri vizuri na wala sio vinginevyo. Wamezira kwa kuwa hawakusikilizwa? au kwa sababu wameburuzwa? Unafanyaje?



Hatahivyo Mlifikiria SSH akimbilie wapi kama sio kwa nduguze? BAMS na wenzake?

nafikiri hata wale walio ndani ya CCM bado wanashangazwa na hili, na wale waliojenga Uhasama bandia(Kina BAMS) ...ila basi Mama anaupiga mwingi, kawazidi kete waliomlaghah (kina BAMS)wakati wao ndio waliotegemea wapewe ushawishi na nyeti zingine
... wamekosa!

Mmetukusesha Watanzania nanyi mmekosa.

Aliyeburuzwa kwenye hili suala ni SSH na sisemi hivyo kumtetea, kwani bado naona angeweza kugawa Rasilimali za CCM badala ya za Umma.
Naona unataka kuifurahisha nafsi yako hata kwa yasiyokuwepo. Mimi nimlaghai Rais, kwani nimewahi kuwepo kwenye circle ya Serikali au CCM?
 
Naona unataka kuifurahisha nafsi yako hata kwa yasiyokuwepo

. Mimi nimlaghai Rais, kwani nimeaahi nimewahi kuwepo kwenye circle ya Serikali au CCM
Kwani kuna Ulazima wa Uwepo?





Halafu eti mtu aseme kuwa mwendazake alikuwa anawapigania wananchi wa kipato cha chini.....
Serikalini wamejaa viongozi ambao mapito yao yamejaa uchafu tele, halafu tunategemea tupate manukato ya kuvutia.

Waziri Mkuu, mbunge ambaye hakupata hata kura moja.

Waziri wa Fedha, Nishati, Habari, n.k; wote wabunge wa kupachikwa.

Watu wasio na maadili tunataka wasimamie maadili. Haya maajabu yapo Tanzania pekee

CCM ya sasa haihitaji viongozi wauaji.

- labda wale ndugu zake na baadhi ya watu wa kanda yake, aliowarundika kwenye ofisi nyingi za umma.
 
Back
Top Bottom