Mke mwema anaitajika, mimi ni mwanaume mwenye sifa zifuatazo: Elimu shahada,umri 28 yrs,mkristo safi(lutherani),mrefu na mweusi wa maji ya kunde, nimejiajiri kwenye kilimo cha mpunga kwa sasa, ni Mchaga etc.
Mke nimtakaye: Awe na elimu ya form 4 nakuendelea,akubali dini yangu,mrefu kiasi na...