Girl friend from mwanza

Girl friend from mwanza

ELIFURAHA MAKOMBE

Senior Member
Joined
Dec 22, 2012
Posts
176
Reaction score
22
Kwa sasa npo mwanza maeneo ya IGOMA,so nahitaji girl friend wakuwanae,kikubwa awe mwaminifu na mwenye sifa zfuatazo:Awe mweupe au maji ya kunde,awe mrefu kiasi,awe mcha mungu,sitojali kiwango cha elimu sana.

Mim n mrefu wa maji ya kunde but sifa nyingine tutapeana on phone
Contact:0715 406010/0759 706090
 
Yani Mie sifa zote nnazo na zaidi Ya Hizo ila nikombali, nitumie nauli Ya Fastjet nije, tena nimeshakupenda kabla sijakuona..
 
Penda sana umalaya weye ngoja siku yakukute
 
Nakutania tu usiwaze,japo in muhimu
 
Unatafuta mchumba au girl friend? Unamtafuta mcha mungu wa kihindu au kibahai?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom