No More Drama
Member
- Jun 2, 2013
- 95
- 19
Wana JF
Kwa hali ilivyo sasa hivi kwa mtazamo wangu tigo ndo kimbilio la wanyonge
Sikujua mwanzo ila baada ya kusikia kuhusu ofa ya Mb 100 za bure
Nikachukua chip yangu na kuiweka kwenye simu nikaanza kufanya survey kwenye vifurushi vyao nilichokikuta
1.ofa ya Gb 30 kwa sh 1000 (usiku kucha)
2.MIA MIA OFA
3.kifurushi cha mwaka mzima kwa sh1000 tu(dk20)
4,Usiku pack hapa ndipo niliposhangaa duh tigo ni shida jaman
****CHANGAMOTO****
Spidi ya internet yao aipo vzur tunaomba waiboreshe jaman tunawategemea
NAWASILISHA
Kwa hali ilivyo sasa hivi kwa mtazamo wangu tigo ndo kimbilio la wanyonge
Sikujua mwanzo ila baada ya kusikia kuhusu ofa ya Mb 100 za bure
Nikachukua chip yangu na kuiweka kwenye simu nikaanza kufanya survey kwenye vifurushi vyao nilichokikuta
1.ofa ya Gb 30 kwa sh 1000 (usiku kucha)
2.MIA MIA OFA
3.kifurushi cha mwaka mzima kwa sh1000 tu(dk20)
4,Usiku pack hapa ndipo niliposhangaa duh tigo ni shida jaman
****CHANGAMOTO****
Spidi ya internet yao aipo vzur tunaomba waiboreshe jaman tunawategemea
NAWASILISHA