Kiukwel wametuboa, watu tumetoka mikoan then watubwenyewe hawaelewek hata kidogo watu tumekaa had tumechoka na had muda huu hakuna matarajio ya kuingia kwenye hiyo interview kiukwel wameboa, coz muda waliotuambia tuje ni tofaut sana na tutakao ingia kufanya hiyo interview TRA MMEBOA VBY MNOOO
Me ni hiyo ya preventive assistant, level yangu ni diploma, ila nilikuwa naomba kujua majukum ya preventive assistant , au majukumu yake ni hayo uliyo yasema hapo juu? Nisaidie mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.