Recent content by Elibariki Mshombe

  1. E

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Mkuu tunaomba utuwekee mtiririko wa chanjo na tiba za magonjwa ili wote tujifunze.
  2. E

    Bukoba vs Moshi

    Hiyo ni moshi mkuu, inaonekana huijui vizuri moshi.
  3. E

    Naombeni tabia za wanaume wa Kipare kwenye mahusiano!!

    [emoji115] [emoji115] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
  4. E

    Polisi agoma kumtaja 'Dikteta uchwara' kizimbani

    Nilikuwa sijui kama wanamzungumzia pogba. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
  5. E

    Nimefikia maamuzi, najitoa rasmi CCM

    Itakua amezisoma za kifaransa.
  6. E

    Utabiri wa T B Joshua uko sahihi, Clinton kashinda ila hajachaguliwa

    Ahsante kwa kutuwekea na ushahidi maana kuna watu wamedanganywa na huyu mtu hata uwaambie nn hawaelewi kua Huyu ni nabii uchwara.
  7. E

    Natambulisha Live Online Tv kwenu

    Daaahh.. Huyu jamaa yuko vizuri sana.
  8. E

    Kwa hili la watafiti kuchomwa moto, Lingeweza kuzuiliwa

    Hata mimi nashindwa kuelewa kama kuna watu bado wa naamini habari za wanyonya damu karne ya 21, alafu inakuaje mtanzania mwenzako anaongea kiswahili kama wewe unashindwa kumuelewa mpaka unachukua hatua za kumpigia na kumchoma moto? Yaani waliohusika wote waaibebe tu hiyo kesi ya mauaji maana...
  9. E

    Dodoma: Wanakijiji Mvumi - Chamwino wachoma moto gari na kuuwa maafisa wa Taasisi ya Kilimo

    So sad, miongoni mwa waliofariki alikuwa classmate wangu. Nina maswali mengi ambayo hayana majibu.
Back
Top Bottom