Ata wewe mtoa post nahic kuna shida nahisi kifikra
Una matatizo Kama mtu ameshambuliwa mchana kweupe unahisi angetibiwa kwa masaa mangapi hawajamrudia tena maana lengo lao ikikuwa kumuua
Mimi nahisi ungekuwa na utu ungesema Serikali itoe pesa lisu akatibiwe
Any way nikuache coz ni Uhuru wa mawazo
Kwani nyie kiawauma nini mbn taarifa mlipewa kabla ya tukio kwanini hamkumhitaji kuwaelezeni ni kwanini watu wanawafutilia
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.