Kwa Karim mimi nitamtetea kidogo, anafanya kazi kubwa ambayo wengi huwa hatuioni tatizo tunawaza kwa vile yeye ni namba tisa afunge ndipo tuuone mchango wake.
Ila kuna kazi huwa anaifanya kurudi kukaba mbaka kwenye box ambapo kwa zile namba tisa kama namba tisa ni adimu kufanya hivyo. Morata naye alikuwa na uwezo huo, sasa kama Morata kaondoka sioni namba tisa ya kurudi hivyo.
Game inavyochezwa nahua wengi huwa na kimuhe muhe ila ukiweza kuangalia marudio ndipo utagundua kumbe Karim kuna vitu huwa anasaidia.
Sent using
Jamii Forums mobile app