Ni kweli nakubaliana na wewe kila mmoja acheze katika nafasi yake kutetea hili,kumbuka tuna wawakilishi majimboni kwetu ,ni wakati muafaka wa kuwafauata na kuwaomba kama wanaona siyo sahihi basi watetee hili kama ni sahihi basi poa .lakini kwangu naona siyo sahihi mbunge wangu wa jimbo la Kawe...
Mi nachoka sana ninapoona siasa zisizo na mwelekeo,hivi kujitoa katika chama kwa sababu hawaendi utakavyo hii ni dalili ya nini? Siyo lazima wafuate mawazo yako na wewe unapaswa kufuata ya kwako,kama ni kwa sababu ya ukabila na wewe siyo mkabila hiyo inasound but much better ukawa change agent...
Hizo ni taratibu za uendeshaji wa makosa ya jinai ,imelekezwa kisheria kwenye CPA(criminal procedure Act) mfano makosa ya mauaji,uwezo wa kusikilizwa ni mahakama kuu,za chini inapitia tu kwa utaratibu ampapo mtuhumiwa haruhusiwi kujibu chochote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.