Legal documents na uchambuzi wa masuala ya kisheria hapa

Naomba sample ya maombi ya wakili wa Uganda kusimamia kesi Tz
Mkuu Elgibbor , kusimamia kesi Tanzania kwa non citizen inawezekana kama kutafanyika maombi maalum chini ya The Advocates Act, cap 341, s. 8 na 35 zikisomeka pamoja na the Advocates (Admission and Practising Certificate) Regulations, 2015, GN 62/2015. Waweza kufuata mtiririko wa maombi haya:
 

Attachments

  • Petition.doc
    41 KB · Views: 322
Mkuu MUST kesi ulizohitaji za Patent na trademarks hizi hapa. Pia unaweza kurejea kesi ya Kiwi European Holdings BV v Sajad Ali Limited [2005] TLR 434.
 

Attachments

  • CCNO. 19 OF 2002.doc
    90 KB · Views: 153
  • ccno.19 of 2006.doc
    50.5 KB · Views: 101
  • COMM-31-2004.doc
    64.5 KB · Views: 107
  • Commercial Case No.74 of 2008 Hertz Intern.doc
    82.5 KB · Views: 293
  • JUDGMENT CASE3'2007.doc
    42.5 KB · Views: 89
  • MISC. CIVIL CAUSE NO. 26 OF 2005.doc
    45.5 KB · Views: 101
  • TRADE MARK Case.doc
    42.5 KB · Views: 110
  • trade mark registered right infringement.pdf
    267.2 KB · Views: 107
  • TRADE MARKE AND SERVICE MARK case.doc
    56 KB · Views: 207
mkuu Drag
Mkuu MUST kesi ulizohitaji za Patent na trademarks hizi hapa. Pia unaweza kurejea kesi ya Kiwi European Holdings BV v Sajad Ali Limited [2005] TLR 43

mkuu Dragon usaidizi wako unahitaji hapa, kuna kitabu uliwahi tuma hapa cha "The law and Practice of Investment Treaties" nilikudown kimakosa na nimejaribu kupitia hapa ili nidownload tena ila sijakiona, please naomba ukitume tena. Pili kuna mdau aligusia mambo ya money laundering, niombe pia kama utakuwa na zile kesi especially katika aspect ya kuprove zile predicate offence unitumie kwani nazihitaji, natanguliza shukrani.
 
Mkuu Dragoon,salama?Naomba msaada sample za kesi za malicious prosecution zifuhususo mwajiriwa na mwajiri ikiambatana mgogoro wa muda mrefu
 
Jamani naomba kuuliza, ninakesi Mahakama Kuu kitengo cha Kazi, jaji alipokuja aliniagiza nikarekebishe kiapo changu nanikafanya hivyo, chaajabu Respondet akiwakirishwa Na,Wakiri maarufu hawajajibu hizo hoja zangu Sasa miezi5 namimi nasimama Mwenyewe Sasa nauliza jaji akija nawao hawajajibu itakuwaje? Au sheria IPI itanisaidia kuwabana wasiombe tena mda??
 
Jamani naomba kuuliza, ninakesi Mahakama Kuu kitengo cha Kazi, jaji alipokuja aliniagiza nikarekebishe kiapo changu nanikafanya hivyo, chaajabu Respondet akiwakirishwa Na,Wakiri maarufu hawajajibu hizo hoja zangu Sasa miezi5 namimi nasimama Mwenyewe Sasa nauliza jaji akija nawao hawajajibu itakuwaje? Au sheria IPI itanisaidia kuwabana wasiombe tena mda??
Mkuu Jino kwa jinokelele utaratibu wa kisheria ni kwamba kiapo sharti kijibiwe ndani ya mda uliowekwa na mahakama, na kwa namna yeyote ile haiwezi kuzii kipindi cha siku 21. Kama mdaawa anashindwa kujibu kiapo basi automatically anakuwa amekubaliana na yaliyomo kwenye kiapo cha mleta maombi.

katika Scenario yako, kwa hakika marekebisho ya kiapo chako hayakutakiwa kubadili aina ya kiapo au nature ya kiapo chako. kwa maneno mengine hati ya kiapo (affidavit) haibadilishwi. Hati hii ni sawa tu na kiapo unachotoa kipindi utoapo ushahidi mahakamani kwa mdomo. kinachofanyika ni kufile supplement affidavit. Kama umeambiwa kubadili hati yako ya kiapo basi badiliko litakalokuwepo ni la muonekano tu (form) na wala sio substantive. Mfano kubadili majina ya wadaawa au kuongeza facts au kupunguza facts fulani.

Kwa hiyo basi, Jaji alikuambia urekebishe kiapo chako na wala si kuleta kiapo kipya. Hujasema hata hivyo kama kiapo chako cha kwanza (kabla ya marekebisho) kilijibiwa. Kama kilijibiwa ni dhahiri kuwa upande mwingine wa kesi hauna haja ya kujibu, maama substance ya kiapo chako cha awali ilikwisha jibiwa.

hata hivyo kama itatokea wakahitajika kujibu kiapo hicho, basi wewe utakuwa na wasaa wa kupinga majibu hayo kwa kuwa majibu hayo yatakuwa nje ya mda. Na wakihitaji sana kujibu itabidi wapate ridhaa ya mahakama, ambapo nawe utapewa nafasi ya kutoa hoja zako ni kwa nini wastahili kuongezewa mda au kuruhusiwa kujibu kiapo nje ya wakati.
 
Mkuu Dragoon,salama?Naomba msaada sample za kesi za malicious prosecution zifuhususo mwajiriwa na mwajiri ikiambatana mgogoro wa muda mrefu
Mkuu mayoscissors hizi hapa ni baadhi tu ya kesi zihusuzo malicious prosecution kama unavyotaka.
 

Attachments

  • 1. general demages for malicious prosecution.doc
    38 KB · Views: 136
  • 2 maliscious prosecution.doc
    73.5 KB · Views: 251
  • 3 MALICIOUS PROSECUTION.pdf
    5.8 MB · Views: 94
  • 4 MALICIOUS PROSECUTION.pdf
    1.9 MB · Views: 103
  • 5. MALICIOUS PROSECUTION.pdf
    7.3 MB · Views: 124
  • 6. malicius prosecution.pdf
    242.3 KB · Views: 90
Wasomi habarin za usiku?kama kuna mtu mwenye hivi vitabu vilivyoandikwa na hawa watu anisaidie please

1)krishnamachari (2003) law of evidence 5th ed.

2)Rao,svj (2001) 7th ed , law of evidence
 
Back
Top Bottom