Pambaneni na hali yenu, yani tuache kufatilia masuala ya msingi, mwishowe tuumize vichwa na uchaguzi wa UVCCM? Ningefurahi zaidi kama Mnyeti angeazima Makombora ya North Korea kuja kuwaangamiza UVCCM wote. Haya ndo Maisha mliyoyachagua tulieni ivo ivo dawa iingie. Tutaelewana tu as time goes on
Wachambuzi wa masuala ya michezo mara nyingi wanakuwa sio waajiriwa wa kituo husika cha matangazo au mikataba yao itakuwa haiwabani kama atakuwa kaajiriwa ndo maana Jeff Lea utamwona azam tv, clouds na vituo vingine
Mkuu zaidi ya kuwaandalia sehem nzuri ya kutaga sina ninachokifanya wanatotoa wenyewe vizur tu, cha kuzingatia ni kuchagua mayai mazuri yasiyo na clerks, na kuku hawapend stress usiingie sehem wanazolalia mayai bila sababu za msingi. Kwa uzoefu wangu kuku wenye maumbo madogo ndo wanatotoa mayai...
Changanya pumba au chakula unachowapa na (layers) hicho ni chakula wanachopewa kuku wa mayai hakikisha layers na pumba zinakuwa na uwiano sawa laa sivo ukizidisha layers watataga sana bila kuatamia
Kila nikiona comment ya kujifariji ya design hii roho inaniuma sana, kama uchaguzi ungekuwa wa huru na haki tusingefikia hapa, namba zitasomeka kwa mda mrefu sana. Unadhani guts za kufanya haya madudu wanapata wapi? binafsi sitafanya ujinga tena wa kupanga msitari eti napiga kura. nonsense.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.